Leroy Sane atawapa furaha sana Bayern Munich, hii ni kwa mujibu wa mchezaji mwenzake wa zamani wa Schalke Joel Matip.
Bayern Munich mwezi uliopita walikamilisha dili ya muda mrefu ya uhamisho wa Sane kwa makubaliano ya kitita cha €60m akitokea kunako klabu ya Manchester City.
Uhamisho wa Sane ulitangazwa katikati miamba hiyo ilipokuwa imeshashinda taji lao la nane la Bundesliga na kumaliza mashindano ya DFB-Pokal kwa kuibuka na ushindi dhidi ya Bayer Leverkusen.
Mlinzi wa Liverpool Matip anaamini Sane atakuwa na muunganiko mzuri na wachezaji wa Bayern ingawa anahofia kuongezeka kwake kutaleta ugumu wa kiushindani ndani ya Mabingwa hao wa Ujerumani.

“Namjua Sane vizuri sana, Ni mchezaji bora Leroy katika hali isiyo tarajiwa ataleta furaha Bayern Munich,” Matip aliiambia Die Welt.
“Leroy ni mchezaji ambaye anaweza sana kuisaidia timu.”
Kufuatia kuwa na majeraha ya mguu ilimfanya asihusike na timu ya Manchester City msimu walio washuhudia Liverpool wakinyanyua ndoo msimu huu tangu walipo fanya hivyo mwka 1990.
Matip aliulizwa kama ubingwa wa Premier League ni mkubwa kushinda ule wa mwaka uliyopita wa Champions League kwa Liverpool, alisema “ndiyo ilikuwa kama hivyo, lakini yote yamefanywa na klabu, lakini huu wa Premier League ni muhimu kwani ni miaka 30 imepita ilikuwa ni shauku kubwa kwa mashabiki kusubiri kipindi chote.
“Kwa kuongeza, kila klabu ina shauku yake. Manchester City ubingwa wa Champions League unathamani kubwa zaidi.”
Jurgen Klopp akiwa Borussia Dortimund mwaka 2012 ndiyo ilikuwa timu ya mwisho kuwapiku Bayern Munich na kutwaa ubingwa wa Bundesliga na Matip amesifu mafanikio ya ya Meneja huyo tangu atimkie Anfield, ambako pia amefanikiwa kushinda mataji mbalimbali kama UEFA, Super Cup na Club World Cup.
Kuna ofa kibao unazaofaidi ikiwa unabashiri na Meridianbet. Jiunge sasa kufurahia ofa zetu
Bonyeza HAPA Kujiunga.


Samiah
Safi
Caroline
kwa kweli sane ni mchezaji bora
devotha
hongera sana Sane nenda kafanye kazi yako vizuri
Ester jackson
Sane yuko vizuri tunajua kazi yake ilivyo italeta hamasa katika timu ya Bayern Munch
Khadija
Sane yupo vizur#meridianbettz
felister
safi sana sane kila la kheri
Adelta
Safi
Tatu
Hongera sane nenda kafanye maajabu huko
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana kwa Sane nimchezaji anaejituma yupo vizuri
Njiku
Hii ipo wazi kwa sane maana ni mchezaji mzuri sana na anafanya vizuri sanaa akiwa uwanjani
Adelta
Safi
Magdalena
All the best sane
Genia Sikaluzwe
Saf sana mashabiki ya Bayern Munich tunasubili Mambo hayo mazuri
mwajumah
Safii#Meridianbettz
Sylvester
Bayern nina imani watafurahi na usajili huo kwani Sane ni nyota sana kwa sasa ingawa alikua benchi takribani mwaka mzima kutokana na majeraha
Dorophina
Sane yupo vizuri sana
Ally mohamedi ally
Habar njema
Issa
Sane uwezo wake ulikuwa mkubwa city kiwango alichokionyesha anatkiwa akionyeshe akiwa munich ingawaje mazingira na falsafa za kocha zitampa shida mwanzoni
Hope mwaikuka
Axante kwa taarifa
lombo
gud news mambo ni moto na meridianbet
Mariam mtandama
Safi sana
Theckla
Namkubali Sana
Latifa juma mohamed
Good
Zeiyana
Sane ni mchezaji hanaye jituma itakua vizuri Bayern wakiinasa saini yake
MnonganeJR
Fundi wa mpira#meridianbettz
Fatuma kasomo
Safi sana
Ernest
Sane ni mchezaji mzuri sana, amekuwa imara sana ndani ya kikosi cha Mancity natumaini atafanya vizuri katika club ya Bayern.
Janeflora malisa
Good
Furahav
Ni kweli atawapa raha sana,mana yuko vizuri sana.
Sadick
Leroy bonge la striker. Bayern inajulikana kwa kukusanya vipaji vya ujerumani#meridianbettz
Gabriel
Habar njema sana 👍
Revina
Kocha anajua kuchagua wachezaji wenye vipaji ,huyo mchezaji wala hajakosea ni mzuri sana
Warda
Kwel maana Sane yuko vizuri sana #Meridianbettz
sabrina
Safi sana
Saupha mohamed
Yupo vizurii Sana’a…safii
Omary lukumbi
Kwa sasa mwenye furaha
David Pere
Mpaka mpira umkubali ukimkataa ayachemka
Frank Patrick
Bora Sane kasepa alikuwa anasumbua sana Epl haswa wakikutana na liver
Elika
Sane Yuko vizuri sana..binafsi namuelewa na namkubali sana
aisha
Sane namkubali sana yuko vizuri sana
Neema juma
Safii sana sane
Angelina
Yuko sahihi sane ni mchezaji mzuri
Rehema
Safi sana
Asia Abdy
Namkubalii
Amiri Kayera
Ni mchezaj mzur
Povel tz
Gud news
Salma
Ni mchezaji mzuri
Tatu
Safi