Australian Open: Naomi Osaka Avuliwa Ubingwa.

Bingwa mtetezi wa Australian Open (wanawake), Naomi Osaka, amevuliwa rasmi ubingwa baada ya kupoteza mchezo wa hatua ya tatu ya mashindano ya mwaka huu.

Osaka alikuwa uwanjani kuchuana na chipukizi, Amanda Anisimova katika mchezo wa mzunguko wa tatu. Anisimova aliingia uwanjani akiwa amepoteza michezo 9 dhidi ya wachezaji waliopo kwenye nafasi 20 bora. Osaka kwa upande wake, alikua ameshinda michezo 24.

Amanda Anisimova

Osaka amevuliwa rasmi ubingwa wa Australian Open kwa kupoteza mchezo kwa seti 4-6 6-3 7-6 (10-5) na sasa, Anisimova atachuana na Ashleigh Barty katika mchezo wa hatua ya 16 bora.


JIACHIE NA ALMIGHTY AZTEC

Ni muda wako kujiachia na mchezo maridhawa wa Almighty Aztec katika kasino bomba za meridianbettz. Nafasi ya kutengeneza mkwanja iko mikononi mwako kazi ni kwako.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.