Moise Katumbi- Bilionea Aliyewekeza na Kuikuza TP Mazembe

Katumbi ameingia kuongoza Tp Mazembe mwaka 1997 ni miaka 23 hadi muda huu nakuandikia  amefanya maajabu makubwa na ni ashirio kazi kuzidi maneno. Amseshinda Mara tano kombe la Mabingwa Barani Afrika na ameifanya Mazembe kuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kucheza fainali ya Kombe la Dunia kwa vilabu. Bado naendelea.

Moise Katumbi

Ameshinda kombe la shirikisho Mara mbili na ameshinda Super Cup ya CAF Mara tatu. Huu ni Mwamba. Anaonekana analijua Soka na Mara kadhaa amepewa Heshima kubwa kutokana na mafanikio yake. Mwaka 2012 alichaguliwa katika Kamati ya FIFA ya Mipango. Mwaka 2013 alichaguliwa katika kamati ya maandalizi ya CAF ambayo alihudumu hadi 2017 pia amehudumu kamati ya Masoko ya CAF.

Moise Katumbi

Mwamba wa Lubumbashi aliweka kiasi cha zaidi ya Bilioni 80 za Kitanzania kujenga uwanja wa Tp Mazembe wenye uwezo wa Mashabiki 18,000. Mbali na mipesa ya kununua wachezaji kutoka kona yoyote ya Afrika Katumbi alianzisha ‘Academy’ na mwaka 2015 vijana 2000 walosajiliwa.

Huyu ndio muwekezaji wa kweli kwenye soka sio siasa zetu wala maneno na kelele kwenye timu bila mafanikio. Umri wa Mazembe ni miaka minne nyuma ya Yanga na mitatu nyuma ya Simba.

48 Komentara

    Nikisoma habari kama hizi nikiangalia vilabu vyetu vya mpira vinaniumiza kweli yaani naona bora wangeweka vilabu vya pombe ili wapige siasa zao za uongo na kweli

    Jibu

    wamemletea tuhuma nying lakn zote ameweza kushinda,heshima kwake katumbi

    Jibu

    Huyu jamaa pesa anayo na michezo anaipenda Sana Ndio maana TP Mazembe imepata mafanikio mapema sana

    Jibu

    Katumbi ni miongoni mwa matajiri wanaopenda michezo asa soka,anastahili pongezi kwa kujitoa kwake

    Jibu

    Asante kwa taharifa

    Jibu

    Moise Katumbi amepata mafanikio kila alichofanya maishani ,kwenye siasa , biashara n.k #Meridianbettz

    Jibu

    Daah huyu katumbi anafaa kuigwa na jamii.

    Jibu

    Asanten meridian kwa taarifa nzuri

    Jibu

    dah kwel katumbi katsha

    Jibu

    Ukiwa na moyo wakujitoa kwa ajili ya wengine hata Mungu anakubariki

    Jibu

    Kweli kabisa wengine wanatakiwa kuwa kama katumbi au kuwa zaidi ya yeye

    Jibu

    Katumbi anajitoa sana katika timu hiyo na anahakikisha timu inapata mafanikio

    Jibu

    Nashukuru kwa kutujulisha habari njema

    Jibu

    Nice update 👍#meridianbettz

    Jibu

    Moise katumbi ni jembe.mwamba wa Lubumbashi hakika anajitoa sana na ana roho nzuri Mungu ambariki

    Jibu

    katumbi anafaa kuigwa#meridianbettz

    Jibu

    Big boss 😎

    Jibu

    Katumbi mtu mbaya

    Jibu

    Katumbi yuko vizuri

    Jibu

    Mtu mwenye pesa zake na mwenye kuipenda michezo

    Jibu

    Katumbi hanapesa na hanapenda michezo

    Jibu

    Katumbi ni mfano wa kuigwa hapa kwetu Tanzania kwani amekuwa akijitoa kwa hali na Mali juu ya TP Mazembe.

    Jibu

    Katumbi ni mfano wa kuigwa hapa kwetu Tanzania kwani amekuwa akijitoa kwa hali na Mali

    Jibu

    Katumbi ni mfano wa kuigwa bos uyo anapesa

    Jibu

    ameifanya Mazembe kuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kucheza fainali ya Kombe la Dunia kwa vilabu.#meridianbettz

    Jibu

    Mpira wa sasa unahitaji m2 mwenye pesa Kama moise katumbi..funzo kwa timu za Tanzania# meridianbettz

    Jibu

    Aise huyu jamaa ni mzalendo kweli,
    Maana amejitoa kwa moyo,
    Na ndio watu wanaohitajika dunian.

    Jibu

    Katumbi pesa inaongea na anajitoa kwakwel

    Jibu

    Anastahili hongera jamani

    Jibu

    Safi Sana mfano wa kuigwa
    #meridianbet

    Jibu

    Mungu ambariki

    Jibu

    Hivi kitu kama hiki kinawezekana kweli kwenye soka letu la hapa bongo

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Nihabari njema

    Jibu

    kutoa ni moyo sio utajir unaweza ukawa nacho lkn ukawa na moyo wa birika hongera katumbi

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Moise katumbi ni mfano wa kuigwa kwa upande wetu wa afrika mashariki na Kati kwn ni mmoja watu waliopata mafanikio mwenye sehemu zte alizoegemeah mfano michezo,biashara,siasa thnks meridian kwa update

    Jibu

    Mtu kama huyu ndo anaetakiwa na mtu kwasababu anajali watu wengine ,kiukweli ni mfano wakuigwa ,tenda wema uende zako.

    Jibu

    Anastahili pongezi katumbi kwa kuifanya mazembe ipate mafanikio makubwa kwenye mchezo wa mpira wa miguu

    Jibu

    Safi sana hivo ndio inatakiwa na ameifanya iwe na mafaniki pia

    Jibu

    Kama Mooo vile

    Jibu

    Apewe pongezi kwa hili

    Jibu

    Mpira pesa Katumbi anadhiirisha ilo yuko vizur

    Jibu

    Katumbi yupo vizur sana

    Jibu

    Hakika nimfano wakuigwa

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet #

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.