Tetesi za Usajili Barani Ulaya Leo Tarehe 26 May 2020

Wakala wa Paul Pogba Mino Raiola ameanza mazungumzo na Juventus kuhusu uhamisho, lakini Real Madrid na Paris St-Germain pia wanamtolea macho kiungo huyo wa Machester United, 27. (Le10sport – in French)

Paul Pogba

Bayern Munich inaweza kuingilia mipango ya kocha wa Manchester United Ole Gunnar Solskjaer kumsajili winga wa Borussia Dortmund Jadon Snacho, 20. (Sun)

Barcelona wako tayari kuwauza wachezaji wao sita msimu huu wakati huu ambapo hali ya kifedha katika klabu hiyo ni mbaya kwasababu ya virusi vya corona. (Marca)

Wakala wa Sergio Aguero amekana taarifa kuwa mshambuliaji huyo, 31, wa Manchester City ataondoka Etihad msimu huu, kukiwa na tetesi zinazomhusisha kurejea Argentina. (Mirror)

Sergio Aguero

Kiungo wa kati wa Chelsea Willian, 31, anasema kuwa kukataa kwa klabu yake kumpa mkataba wa miaka mitatu zaidi kumemfanya kuwa katika mazingira ”magumu”. (Esporte Interativo, via Metro)

Manchester United sasa wanapenda kumsajili beki wa kati wa Napoli Kadou Koulibaly, 28, baada ya PSG,Barcelona na Real Madrid kujiondoa kwenye mbio za kumnasa mchezaji huyo. (Sun)

Mashetani wekundu pia wamefanya mazungumzo na wakala wa kiungo wa Juventus Adrien Rabiot, huku Arsenal na Everton nao wakionesha nia na mchezaji huyo. (Mirror)

Arsenal wanamfukuzia mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa klabu ya Ajax mwenye thamani ya pauni milioni 20 Nicolas Tagliafico,27.(Mirror)

Kiungo Ainsley Maitland-Niles ,22, anatarajiwa kuwaacha washika bunduki dirisha la usajili litakapofunguliwa baada ya kuingia kwenye mzozo chini ya kocha mpya Mikel Arteta. (Star)

Real Madrid wanafikiria uhamisho wa mchezaji wa nafasi ya ulinzi wa klabu ya Celtic raia wa Norway, Kristoffer Ajer,22, baada ya kuonesha kiwango kikubwa kwenye ligi kuu ya Uskoti. (Mundo Deportivo – in Spanish)

28 Komentara

    j.sancho siku chache zijazo atakuwa Mali ya man utd..huyo dogo fundi wa assist pale Dortmund .anafit kabisa katika mfumo wa ole gunnar# meridianbettz

    Jibu

    Update nzuri sana #meridianbettz

    Jibu

    Ndio wakati wa kutunishiana misuli vilabu vya ulaya kwenye usajir

    Jibu

    Doble p anaondoka kweli au haondoki

    Jibu

    Habar njema sana# meridianbet

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Thnks kwa update za michezo na burudani

    Jibu

    Asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Mko vizuri kwa taharifa

    Jibu

    Pogba nenda tu.

    Jibu

    mambo n moto

    Jibu

    Thanks Meridianbet for wonderful news!! Pogba’s life is not at Man U.

    Jibu

    Tnx meridian bet kwa update

    Jibu

    Atariiiii

    Jibu

    Mnatukosha sana meridianbet kwasababu tunapata kila taarifa inayotoka.

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Gud news 👍👍👍

    Jibu

    Hatari

    Jibu

    Hatarii

    Jibu

    msimu wa presha na mawakala wa wachezaji kufanya udanganyifu

    Jibu

    Mambo mazur na meridianbet

    Jibu

    Pogba..!kwenda real Madrid sio kweli

    Jibu

    Taarifa nzuri

    Jibu

    Habari zote za mpira napata kwenu#meridianbttz

    Jibu

    Asante kwa taarifa #meridianbet

    Jibu

    Makala nzuri

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.