Marcus Rashford amesema Manchester United kwa sasa ni bora zaidi baada ya kipindi cha zuio la Korona kwa ligi kuu ya Uingereza lilitolewa mwezi machi mwaka huu. Kabla ya ya zuio la kuendelea kwa ligi ya Uingereza Manchester unuted ilikua kwenye hali nzuri sana kwa lucheza mechi 11 bila kupoteza hata moja katika mashindano yote.

Mapumziko hayo yamempa Rashford nafasi ya kupona tatizo la Mgongo lililofanya akose kwenye baadhi ya mechi za mwisho kwenye ligi kuu ambapo kwa sasa yuko sawa na tayari kuitumikia timu yake.
Akiongea na mashabiki wa Manchester United Rashford amesema “nadhani baada ya kupumzika nyumbani tumekua na nguvu na hamasa kubwa sana ukilinganisha na ile tuliyomaliza nayo”
“Naamini kila mechi yetu ijayo tutaicheza kwa uangalifu na na kwa umakini kwakua tunajiandaa vema sana tuiwa katika viwanja vya mazoezi”
“kwa mimi binafsi nilikua na wakati mzuri sana kabla ya majeraha na nashukuru nimerudi nikiwa na nguvu na niko tayari kwa mapambano.”

Wakati michezo ikiwa imesimamishwa Rashford ametumia muda wake vyema kwa kufanya mazoezi na kushiriki kutoa misaada ya chakula na vitu muhimu kwa watu wasiojiweza wanaozunguka mji anaoishi.


mwakalosi
tunataka Matokeo sio maneno
Zeiyana
Ongera sana lashford..!kutoa ni moyo
Hamidu
Rashford talent player.
JULIANA
Rashford Mungu atakulipa zaidi kwa moyo wakujitolea ulio fanya
lombo
Rashford unaota nn si MWANITESA UNITED hii ninayo ijua mm bhn
Shafii
Ni mtazamo wake tunaisubili tuone
Mwajuma
Tusubiri tuone
Lydia Emmanuel Magoti
Nimtazamo wake tunasubili matokeo
Kenani
Soccer uwanjani sio maneno
Dorophina
Tunataka vitendo sio maneno
Genia Sikaluzwe
Tunangoja kuona vitendo na siyo maneno
Aziza mushi
Tunasubiri tuone
Latifa juma mohamed
Vitendo viwepo
Mariam mtandama
Tunasubiri kwa hamu
Tahiya
Man u ilikua inamuhitaji sana rashford ikizingatiwa yeye ndio alikua mfungaji wao muhimu sana kwangu nijambo zuri
Rehema
Rashford Ni mchezaji mzuri sn tena mwenye kujituma tunasubili tuone kwanza
isha
Mashabiki tunawasubili kwa hamu sana
Hope mwaikuka
Itakua vzur sanaa mkiwa hvyo
Agness
Safi Sana tunawasubiri kwa ham
Neema hassan
Wapenzi wa soka tunasubr kwa hamu
Antony Luseno
That’s Man united sijui wapinzani wamesikia ayo maneno!
Frank Patrick
Jua limeshazama waendeleze huo moto next season
Elika
Rashfod naamini amepona na atakuwa sawa kabisa..utamuona uwanjani akiwa mpya
Sadick
Waungwana wanasema maneno yawe machache, vitendo viwe virefu. Nasubiri kuona kwa vitendo uwanjani#meridianbettz
felister
ngoja tujionee icho unachokizungumzia kina ukweli ndani yake
Theckla
Tunasubiri kuona ushindi
Ester mmakasa
Ni habari ya kufurahisha na tunapata moyo kwamba tutapata kuendelea na burudani kama kawaida.
Adelta
Tunataka vitendo maneno baadaye
Rehema Dickson
Iyo safi sana chama langu nawapa big up bora tulisongeshe gurudumu tumeteseka sana sana tunafungwa adi viande bwana
winfrida
rashford namkubali
Khadija
Waswahili wanasema mkono mtupu haulabwi mashabiki tunataka vitendo##meridianbettz
David Pere
Ashakuwa fiti Ndio maana anajiamini kwa kusema wamejipanga, sawa tutasubiri tuangalie walivyojipanga
Asha mvugalo
Ngoj tuone bhn thnks meridian bet kwa update za michezo na burudani
Devotha
Tuone matokeo yake kwa vitendo
Devotha
Rashford fanya vitendo
Warda
Rash mnyama dogo namkubali sana
Magdalena
Kama mmejipanga Safi Sana Ila ushindi ndo mpango mzima
Caroline
Man U mi nawaaminia
Gabriel
Hatukaki maneno Kama wamejipanga tutakutana uwanjan
Povel
Wapenzi wa kandanda tunasubir tuone
mathayo sonje
Zisije zikawa nguvu za soda kama msimu uliopita maana hali ilikua mbaya
Theonestina
Mashabiki tunataka matokeo mazuri kwa man u.sio stor
Amani
Najua mashabiki wasio ipenda man u wanateseka kweli chuma icho kimewaka Moto muda wote kina unguza man United for life
Neema juma
Maneno mengi hayahitajikiii hapa. Vitendo ndo habari ya mjinii
Emmy cleopa
Tunasubir tuone