Hakukuwa na mgonjwa wa Virusi vya Corona aliyebainika kutoka katika vipimo 1,195 katika raundi ya hivi karibuni ndani ya Premier league. Uchunguzi wa wachezaji na wafanyakazi wa vilabu ulifanyika mnamo 4 na 5 Juni.
Timu zote 20 zilipitia vipimo maalum vilivyohusisha wachezaji, wahudumu na wafanyakazi wote wa timu husika, hii ni kutokana na kua watu wote wanaoshiriki kukamilisha mchakato wa ligi kuu wanatakiwa kuwa salama na ili kuwakinga wahusika hao, Chama cha soka nchini Uingereza kikishirikiana na Idara ya afya nchini humo kiliandaa utaratibu maalum wa kupima kila mtu ambae atakua karibu na timu hizo.
Mtu mmoja alikutwa katika duru iliyopita, na jumla kufikia 13 kutoka vipimo 6,274 tangu walipoanza. Premier league iliyosimamishwa tangu Machi 13, imekusudia kuanza bila Mashabiki mnamo 17 Juni wakati Aston Villa itaikaribisha Sheffield United na Mabingwa watetezi, Manchester City kuzuia mitutu ya Arsenal.
Liverpool iko na alama 25 juu ya Msimamo wa PL, wakati Bournemouth, Aston Villa na Norwich City ziko kwenye eneo la kushuka Daraja, Kuna michezo 92 iliyobaki msimu huu kukamilika.
Dorophina
Ni habari njema kwa wapenzi wa soka
Genia Sikaluzwe
Inapendeza Sana kwa mashabiki wa soka
Lydia Emmanuel Magoti
Niabari nzuri mungu kafanya miujiza yake anaitajika ashukuliwe
Hamidu
Habari njema kwa mashabiki wa EPL
Mwajuma
Good news
lombo
habar njema
Furahav
Bora,maisha yarudi km zamani
Aziza mushi
Habari njema.
Latifa juma mohamed
New updates
Samiah
Safi sanaa updates
Tahiya
Bora ila ni kufuat tyuu kanuni za afya
Mariam mtandama
Safi
Hope mwaikuka
Axante Mungu kwa uponyaj wako
Rehema
Safi sn tena ni habari njema kwa mashabiki wa mpira
isha
Tunashukuru ugonjwa umepungua
Agness
Nihabari njema
Neema hassan
Habari njema mungu anaendlea kutupigania..
Salma
Hakika ni furaha kubwa sana
Antony Luseno
Kwa atua iliyofikia kwa ajili ya kukabiliana na hili janga Mungu yu nasi
Elika
Corona iishe Tu jamn
Frank Patrick
Idadi ni ndogo sana ila tahadhari ni muhimu kufuatwa
Sadick
Hureeeee. Tunasubiri kuona wanaume 22 wakipambana uwanjani bila watazamaji#meridianbettz
felister
ahsante mungu uendelee kutupambania dhidi ya huu ugonjwa utokomee kabisaa
Theckla
Ni Jambo la kumshukuru Mungu
Ester mmakasa
Ni taarifa ya matumaini kwetu sisi mashabiki wa timu mbalimbali.
Adelta
Ni habari njema kwa mashabiki
Rehema Dickson
Mungu aendelee kutupa uzima na afya hili janga lilitupa wakati mgumu na kwa uwezo wake litakwisha kabisa
winfrida
corona saiv hana nafasi kashindwa mungu ni mwema
julieth boniface
habari njema
Khadija
Habari njema kwa mashabiki wa EPL#meridianbettz
David Pere
Bado ni tishio ti ingekuwa sio tishio mashabiki wangeruhusiwa kuingia uwanjani hapo inaonyesha jamaa bado yupooo
mwakalosi
tunamaliza sasa tutaishi nao tu
Isaya massawe
Sisi yetu macho tukisubiri sana kuona kivumbi kikianza tena pale EPL
Asha mvugalo
Ni habar njema kwa wapenzi wa EPL na wazee wa jamvi
Devotha
Ni habari nzuri
Warda
Wawooo hadi raha #Meridianbettz
JULIANA
Ni habari njema
Ernest
Jambo zuri sana tutafurahi kuona ligi inarudi
Caroline
Mungu ni mwema
Gabriel
Hii ndo ligi inayosubiriwa hvyo Kama imethibitisha bac iko poa sana
Magdalena
Habari nzuri chezeni mpira sisi mashabiki tufurahie
Povel
Habar njema
Shafii
Makala bomba sana
mathayo sonje
hii habari imekaa vizura sana.#meridianbet
Theonestina
Huu ugojwa ni balaa zito
Hidaya
Bora maisha yaendelee kama kawaida
Amani
Ni habari njema kwa wapenzi wa soka ili burudani irejee tumemiss Sana mpira
Neema juma
Habarii njema sana #meridianbet
Emmy cleopa
Habari njema
Mwanahamisi
Ni habari njema kwa wapenzi wa soka
Kenani
Hahahaha noma sana Asante Sana no burdani tu tunasubir
farida ahmadi
Jambo la kushukuru