Kila nikiifikiria habari hukumu kali za waamuzi, kichwani mwangu ananijia muitaliano Perluigi Collina. Yes, referee bora wa mwaka wa FIFA mara sita. Referee bora kuwahi kutokea katika historia ya soka. Referee pekee ambaye hadi anastaafu halaumiwi na timu yoyote kuwa aliwahi kuwaonea.

Aliwezaje? Subiri kwanza, hapa namzungumzia mtu aliyeongeza dakika 3 katika fainali ya UEFA mwaka 1999 pale Camp Nou, Manchester United wakasawazisha na kupata bao la ushindi mbele ya Bayern Munich. Collina ni mtu asiyetingwishwa.
Labda ujasiri wa maamuzi yake ulitokana na maisha aliyokulia utotoni. Si rahisi kulelewa na mama Mwalimu na baba askari alafu usiwe mtu wa sheria. Asingetetereka maamuzi Hata mbele ya watukutu akina Duncan Ferguson na Edgar Davies. Angetenga tuta akiwa anacheka halafu ukimlalamikia anakutwanga kadi akikukaripia. Yule ndiyo Perluigi Collina.

UsIdhani alikuwa hivo kwa wachezaji tu, hata waamuzi wenzake walikoma kumtambua. Kabla ya mechi angewaweka wasaidizi wake chini, awape ‘tution’ ya namna timu zote zinavocheza na wachezaji wakuwaangalia kwa jicho la tatu. Ndiyo maana Ronaldo De Lima alijiamini vile mbele ya wajerumani pale Korea Kusini katika fainali ya kombe la dunia 2002, alijua analindwa vilivyo.
Marehemu Steve Jobs alisema, “Njia pekee ya kufanikiwa ni kupenda unachofanya”. Nadhani ndiyo maana Collina amefanikiwa. Immagine aliacha kazi ya jeshi na shahada yake ya uchumi ili akawe muamuzi.


Tahiya
Hama kwer njia pekee ya kufanikiwa ni kupenda unachofanya msemo huu una maana sana Collin alipenda kazi yke ndio mana alikuw anafanya vizur kwenye maamuz yke
Genia Sikaluzwe
Collin Bado atakua refa mzr na aliipenda kazi yake ndo maana mpk leo anakumbukwa.
Mariam mtandama
Duuuh
Salma
Alijiamin na alimini kipaji chake good
felister
Collina ni mtu asiyetingishwa
Samiah
Good alijiamini kwa kipaji chake
Rehema
Ni kocha anaejiamin sn kwenye kazi yake anstaili pogezi kiukweli
isha
Collina yuko vizuri sana
Hope mwaikuka
Waoo
Agness
Yuko vizuri anajiamini
Agness
Yuko vizuri anajiamini nikocha mzuri
Sadick
Hakika kufanya unachopenda ndio njia ya kufanikiwa. Na hili limedhihirika dahari na dahari. Wakati Fulani Mourinho alitaka awe mwamuzi wa mechi iliyofuata baada ya kuhisi mwamuzi wa mechi ya awali ameboronga#meridianbettz
Elika
Kocha aliyejiamini sana
Frank Patrick
Najivunia kuwa moja kati ya waliomshuhudia akiwa mwamuzi haswa hiyo final 2002
Neema hassan
Kocha makini sana..
Antony Luseno
Ndo maana huyu jamaa uwanjani alikuwa mtemi katika mawmuzi yake
Theckla
Alikuwa kocha aliyependa kutenda haki ck zote
Ester mmakasa
Hongera kwake Collina tunafundishwa kwamba njia pekee ya kufanikiwa ni kupenda tunachokifanya kama Collina.
Adelta
Ni kocha ayejiamini na kupenda kazi yake
winfrida
akika ni kocha mzuri na wa kuigwa
Rehema Dickson
Njia pekee ya kufanikiwa ni kupenda unachofanya”. Nadhani ndiyo maana Collina amefanikiwa.nampa hongera yake
julieth boniface
Huyu kocha yuko vizuri sana
Khadija
Collina kocha ninaemkibali sana #meridianbettz
David Pere
Huyu mwamuzi nakumbuka Sana akiwa uwanjani kwanza wachezaji wanakuwa na nizamu Sana sababu Hana masihara kabisaa
mwakalosi
ni refa bora wa dunia tokea mpira kuanzishwa
Isaya massawe
Alikua anakipenda alichokua anakifanya na pia alisimamia njia sahihi
Asha mvugalo
Ni refa mzuri Sana kwangu
Devotha
Ukifanya kitu kwa mapenzi utaiheshimu na utaifanya vizuri
Warda
Na mie nitafata nyayo zake
JULIANA
Kocha yupo makin nakazi yake
Sylvester
Collina Ni number moja kwa marefa ambae bado atabaki kua namba moja
Khadija
ndio maana huyo jamaa alikuwa mtemi##meridianbettz
Ernest
Bonge la Refa enzi zake kulikuwa hakuna boko alikuwa kama VAR vile
Lydia Emmanuel Magoti
Namkubali sana huyo alikuwa muwamuzi mzuri Sana Collina alikuwa anajua nn anakifanya kwenye kaz yake anastairi pongezi aliitendea kaz yake vyema
Dorophina
Kocha mzuri anayejiamini na maamuzi yake
Caroline
Alikua anapenda haki..
Furahav
Namkubali sana huyu colina.
Hamidu
Mmoja wa refa Bora .enzi zake Corrina alikuwa anajua kufanya maamuzi sahihi Bila upendeleo#meridianbettz
Gabriel
Kwa upande wa marefa namkubali sana collina n refa ambeye yuko makin sana na kumbuka mwaka 1998 alivyochezesha kombe la dunia ilikuwa hatar
Magdalena
Alipenda kutoka moyoni mwake ndo maana alikuwa anafanya vizuri
lombo
huyu jamaa alikuwa noma sana hana masiala anga zake
Mwajuma
Alikuwa refa bora sana
Povel
Collin moja ya marefa Bora wa muda wwte ulimwenguni
Aziza mushi
Collin namkubali saana
Shafii
Muamuzi mzuri wa kuigwa huyu jamaa
mathayo sonje
huyu jamaa hajawahi kujutia maamuzi aliyoyowahi kuyafanya akiwa kiwanjani, hata wachezaji wakorofi walikua wanamuogopa kwa jinsi alivokua na msimamo na maamuzi yake,
Theonestina
Alikuwa refa mzur Sana uyo enzi zake
Hidaya
Ni refa wa kuigwa kwa kazi yake aliyoifanya
Amani
Huyu refalii alikuwa Ana zingua Sana sikuwahi kumpenda ila ila nijambo zuri kuchagua unacho kipenda
Mwanaidi
kocha ni mtu makini sana
Evaluziga
Ni kocha anaejiamini kwenye kazi yake
Ester jackson
Waoo habari nzuri sana hilo linaitwa jeshi la mtu mmoja
Neema juma
Licha ya kujua vitu mbalimbali kuhusu wachezaji na mechi kibao. Bado tunajifunza na mambo mazuri. Njia pekee ya kufanikiwa ni kupenda unachofanya. Njia iliyomfanya COLLINA afanikiwe.
Emmy cleopa
Kocha Yuko makini sana
Kenani
Mamuzi yeny msimamo ni kitu kizur
Zeiyana
Alikua muamuzi makini sana katika career yake yote anapaswa kuigwa na waamuzi wengineo
Zeiyana
Collina refa wa dunia..!hatakumbukwa milele