Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema Inter Milan wanafikiria kumnunua kiungo wa kati, Mfaransa N’Golo Kante huku Blues wakiwa tayari kusikiliza ofa kwa ajili ya kumuuza mchezaji huyo wa Ufaransa, 29.

Zenit St Petersburg wameeleza nia yao ya kumsajili beki anayekipiga katika klabu ya Liverpool Dejan Lovren, 31.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

 

Tetesi zinasema klabu ya AC Milan wanafikiria kumnunua mashambuliaji wa Real Madrid raia wa Serbia Luca Jovic, 22, ambaye anatekodolewa macho na Leicester City na Arsenal.

Kai Havertz anataka kuondoka Bayer Leverkusen kwasababu walishindwa kufuzu katika michunao ya klabu bingwa Ulaya.

Hivyo basi Chelsea watalazimika kuhakikisha wanafuzu katika michuano hiyo ili kumshawishi kiungo huyo wa Ujerumain 21 kujiunga na timu hiyo.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

 

Bayern Munich wana mpango wa kuwanasa viungo wawili wanaocheza ligi kuu ya Ufaransa, Tonguy Ndombele wa Tottenham, 23, na Tiemoue Bakayoko.

Mshambuliaji Zlatan Ibrahimovic, 38, amesema hana uhakika kuhusu mustakabali wake ndani ya AC Milan kwa kuwa hakuna mazungumzo yoyote yaliofanyika kuhusu mkataba ikiwa sasa ni chini ya mwezi mmoja kabla ya mkataba wake kufikia ukingoni.

Mashabiki 5,000 waliruhusiwa kuingia uwanjani kutazama mechi ya kirafiki ya Paris St Germain, mechi iliyoitoa kifua mbele kwa 9-0 dhidi ya wenyeji Le Havre.

 


Bashiri na meridianibet Upate ofa kibao za kijanja.

Jisajili Hapa

38 Komentara

    Acha tu Abadilishe upepo#Meridianbettz

    Jibu

    Ni Jambo zuri

    Jibu

    Me naona klabu zina hamasa sana ya kusajiri wachezaji ligi msimu huu kuna moto itakua vizuri kama inter Milan wakimsajiri ngolo

    Jibu

    Ni Jambo jema

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Jambo nzuri#meridianbet

    Jibu

    ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Sawa ngolo kama mzigo unakulizisha nenda broo kakipige

    Jibu

    Wacha tuu wabadirishe upepo

    Jibu

    Wakimsajili kante watakuwa wamefanya vyema sana

    Jibu

    Ni jambo sahihi

    Jibu

    asante meridianbet kwa taarifa

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Habari njema iziii

    Jibu

    Usajili umepamba moto ila kadabla njoo man United mzee umalizie soka lako bado.tunakuhitaj sana mzee ukutane na maswahiba zako kina pogba eric baily

    Jibu

    Tetesi za soka zisizo na magumashi hua nazipata hapa hapa.

    Jibu

    Asante kwa taarifa nzuri

    Jibu

    Gud news tetesi kama hizi zinatusaidia wanasoka kujua habari za wachezaji asante sana meridian

    Jibu

    Badilisha upepo kante kama vp

    Jibu

    Nashukuru kwa taarifa hizi #meridianbettz

    Jibu

    Habar njema sana 👍

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Safi sana.

    Jibu

    Nivizuri kubadirisha klabu ilikujifunza vitu tofautitofauti#meridianbett

    Jibu

    asante kwa taarifa #meridianbet

    Jibu

    Ni Jambo zuri

    Jibu

    Gud update

    Jibu

    Habari njema hizo

    Jibu

    Taarifa nzur

    Jibu

    Wachatu abadilishe upepo

    Jibu

    Ni sawa tuu

    Jibu

    Chelsea watakubali kweli kumuachia Kante?

    Jibu

    Kwenye usajili kumwnogaa

    Jibu

    Wakifanikiwa itakuwa habari njema sana

    Jibu

    Inabidi wapambane ili wapate liwe Jambo jema

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Naona usajili unazidi kupamba moto

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.