Ginter- "Bado Nipo Nipo Sana Gladbach."

Matthias Ginter ataendelea kubaki katika timu ya Borussia Monchengladbach licha ya kuripotiwa timu za Chelsea, Atletico na Inter kumuhitaji.

Beki huyo wa kati Mjerumani amekuwa akihusishwa na kujiunga na vilabu vikubwa vya ulaya vinavyo shiririki ligi kuu za LaLiga , EPL na Serie A.

Walakini, baada ya kumaliza kwenye nafasi ya nne katika Bundesliga msimu wa 2019-20 na kufuzu kucheza Champions League msimu ujao, Ginter anataka kundelea kubaki klabuni hapo ili asiadie timu hiyo kwa hatua zitakazo fuata.

“Nidhahiri nitaendelea kuwa na Monchengladbach,” Ginter aliiambia Kicker Magazine.

“Ni kweli nimesikia wakiniulizia nimekuwa nikisifiwa lakini nilisha sema ninawakati mzuri sana nikiwa na Gladbach.

“Timu hii inamchango mkubwa sana kwenye maisha yangu ya soka na kocha Marco Rose ametupa thamani sisi wachezaji.

“Mashabiki halisi wametuzunguka hapa, klabu hii kwa sasa ipo katika mpango wa kutengeneza kitu, nimewaibia siri pia bado nina mkataba hapa.


Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia mchezoni

44 Komentara

    Ginter mchezaji mahiri Sana, wacha aendelee kulisogeza gurudumu kwa borussia.

    Jibu

    Asanten kwa taarifa.

    Jibu

    Sio mbaya

    Jibu

    Ginter ni mchezaji mzuri sana

    Jibu

    Japo kukaa timu moja kwa muda mrefu ina manufaa yake lakin pia kubadili upepo napo muhimu

    Jibu

    Jambo nzuri kwake

    Jibu

    Kama ni kuna masrai Ni vizuri tu ginter ukabapo hapo hapo klabuni

    Jibu

    Ginter yupo vizuri sana

    Jibu

    Kinachotakiwa ginter aangalie masilahi yake kama anapata mafanikio basi abaki

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Usiondoke kama panafaa

    Jibu

    Ginter nenda Chelsea utapata pesa nyingi sana mana wanauhaba wa mabeki

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    ukiona ivyo panamanufaa napo ndiyo mana anataka aendelee kuka apo

    Jibu

    Me naona angeenda tu ili haone mabadiliko kuchezea timu moja uwezi kuna manufaa yoyote hata kama hiyo clabu hikufanyi makubwa vipi?

    Jibu

    Wazo lake sio bayaa

    Jibu

    Wakati mwingine ni muhimu kubaki maana kuhamahama Kuna majanga take pia

    Jibu

    Ginter nimchezaji mzuri anajua Nini anakifanya kwenye kaz yake namkubali

    Jibu

    Siyo mbaya akabaki kwenye klabu yake maana bado klabu iko nafasi nzuri

    Jibu

    asante kwa taarifa

    Jibu

    Sawa tu abakii

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Huyu jamaa hapa anaonyesha uzalendo sana

    Jibu

    Jambo nzuri sana

    Jibu

    Wazo lako liko vizuri.

    Jibu

    Wazo zuri

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Ginter awez kuondoka hapo ni timu ambayo anaielwa vizur

    Jibu

    Sawa tu

    Jibu

    Msimamo wake ni mzuri ila Kama mchezaji mwenye ndoto za kua na mafanikio makubwa inapaswa atazame wapi panamfaa kutekeleza ndoto zake.

    Jibu

    Maamuzi yake binafsi kuondoka hama kubaki

    Jibu

    Safii

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Wazo lake ni sahihi

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Gud news 👍

    Jibu

    Sawa sawa

    Jibu

    Wazo lake ni sahihi#Meridianbettz

    Jibu

    Kama anapenda kubaki wamwache tu jamani#Meridianbeetz

    Jibu

    Habari njema#meridianbettz

    Jibu

    Chelsea inauhitaji wa beki wa kati na kushoto hivyo endapo atamua kwenda huko atapata nafasi ya kucheza mara kwa mara#meridianbettz

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.