Thomas Muller aling’aa sana katika klabu ya Bayern Munich msimu uliyopita lakini kocha mkuu wa timu ya taifa ya Ujerumani Joachim Low hana mpango wa kumuita mchezaji huyo.
Low alitangaza kuwa Muller, Jerome Boateng na Mats Hummels hawakuchaguliwa kwenye kikosi tena baada ya kushindwa kupita katika hatua ya makundi mwaka 2018 katika kinyang’anyiro cha kombe la dunia
Lakini, kiungo mshambuliaji huyo wa Bayern alikuwa katika kiwango bora chini ya mwalimu Flick msimu uliyopita, akiwa na mkusanyiko wa kuvunja rekodi ya kutoa asisti 20 wakati miamba hiyo ya Bavaria ikifanikiwa kubeba Bundesliga kwa mara ya nane mfululizo.

Bayern hawakuishia hapo kwani walishinda mataji matatu ndani ya msimu mmoja kwa kushinda DFB-Pokal na Champions League huku Muller akiwa ni nyota wa mchezo dhidi ya Barcelona, Bayern ilipoicharaza timu ya Barcelona 8-2 katika hatua ya robo fainali kwenye Champions League.
Lakini, Low hakutaka kumuita mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 katika kikosi cha Ujerumani kwenye michuano ya Nations League.
“Thomas Muller ni mchezaji mkubwa,hakuna swali juu ya hilo, lakini nawaamini vijana,” Low alisema baada ya mchezo dhidi ya Spain siku ys Alhamisi.
“Naamini kwamba hatma ya timu ipo mikononi mwa vijana wanahitaji muda mwingi wa kucheza na kukuza vipaji vyao.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.


magdalena
vijana ndo wana nguvu sana wanajua kupambana
Sadick
Joachim Low yupo sahihi na ili Ujerumani aendelee kuwepo ktk hali ya ushindani lazima vijana wapewe kipaumbele zaidi#meridianbettz
Hope mwaikuka
Vijana ndo mambo yote buana
Mwajumah
Low yupo sahihi kwan vijana ndio wananguvu na wataleta maendeleo kwenye clabu
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri alicho hongea Low ana mpango na vijana sio wazee vijana miliyao bado ipo nguvu kaz
Edgar
dam changa ndo yenye nguvu
Frank
Ya kizazi sana hii
Nasra
Safi sana
Ernest
Sio Low tu tunaona makocha wengi kwenye timu ya Taifa wanajaribu kutumia vijana zaidi
Sauda
Vijana wanapiga kaz
Johnmary joel
Anamipango vizuri#meridianbett
Saupha mohamed
Vijana ndo wanaoleta changamoto yupo sahihi Joachim low
Khadija
Vijana ndio habari ya mjin#meridianbettz
Adelta
Vijana ndiyo wazuri damu bado mbichi
@meridianbettz
Caroline
Ha ha ha ha ha atarii
Dorophina
Low yupo vizuri vijana wataitumikia klabu vizuri na kwa mda mrefu na viungo vunakuwa vipo fiti
Shani
Muller usimteme low
farida ahmadi
Ni maamuzi mazuri ya low ilikuimarisha kikosi
felister
vijana ndo habari ya mjini
Fatina
Nice
Mwanahamisi
Safi sana
Shafii
Ila akumbuke msemo wa wahenga unaosema safari na wazee
rama
yuko sawa lbda yeye plani yake timu iwe na vijana zaidi
Furahav
Ila kweli navijana nao wapate nafasi ya kuonesha viwango vyao.
Rose kapinga
Vijana damu changa mambo yanaenda!!!
rama
muler umri umeshaenda acha wapte nafasi vijana
Juliet
Sawa
Saupha mohamed
Vijana ndo changamoto
Neema
Vijana ndio wenye nguvuu
Sabrina
Vijana ndio nguvu kazi
Samiah
Vijana ndio nguvu kazi
Issa
Low dam changa ndio yenywe
Agness
Vijana ndio kila kitu
Rehema
Gud news 👍
Povel
Low anangaliah mbali kwn boateng /muller soka lao kwny national timu limekwisha tayar zamu ya vijana
Janeflora malisa
Nice
Tatu
Vijana ndio kila kitu kwenye ulimwengu wa sasa
Flomena
alikuwa katika kiwango bora chini ya mwalimu Flick msimu uliyopita, akiwa na mkusanyiko wa kuvunja rekodi ya kutoa asisti 20 wakati miamba hiyo ya Bavaria ikifanikiwa kubeba Bundesliga kwa mara ya nane mfululizo.
Amiri Kayera
Umli umeenda lakn bado wanauwezo
Latifa juma mohamed
Naamini kwamba hatma ya timu ipo mikononi mwa vijana wanahitaji muda mwingi wa kucheza na kukuza vipaji vyao.
David Pere
Joachim Low yupo sahihi na ili Ujerumani aendelee kuwepo ktk hali ya ushindani lazima vijana wapewe kipaumbele zaidi
Isaya massawe
Vijana ndo mpango mzima
Gabriel
anangaliah mbali kwn boateng muller soka lao kwny national timu limekwisha tayar
warda
Hajui Mambo huyu mbona sie Simba tuna Kagere na Anachukua mchezaji bora kila mwaka