Arsenal Yamsajili Golikipa Kutoka Ligue 1.

Arsenal imethibitisha kumsajili golikipa Alex Runarsson kutoka klabu ya Dijon ya Ligue 1 kwa dili inayokadiliwa kuwa na thamani zaidi ya £1m.

The Gunners walikuwa wakihitaji golikipa baada ya mlinda mlango Emiliano Martinez kutimkia Aston Villa wiki iliyopita.

Martinez alikuwa katika kiwango kizuri mwishoni mwa msimu uliyopita na kuisadia Arsenal kutwaa taji la FA Cup na Community Shield, lakini ameondoka kwenda Aston Villa ambako atapata kucheza katika kikosi cha kwanza.

Akiwa na Bernd Leno sasa golikipa namba moja, Runarsson mwenye umri wa miaka 25 ameletwa ndani ya kikosi kusaidia timu ya Arteta.

“Tunataka tutengeneze timu yenye ushindani na tunaangalia namna ya kumleta Alex katika eneo la kulinda goli,” Meneja wa Arsenal Arteta, alisema.

Runarsson ambaye ni raia kutoka Iceland amepangiwa kuvaa jezi namba 13 akiwa Gunners.

Kiongozi wa benchi la ufundi la Arsenal edu aliongeza: “Tungependa kumkaribisha Alex katika kikosi chetu,tumekuwa tukimfuatilia kwa kipindi kirefu na kutokana uchambuzi wetu tumeona atatufaa katika timu yetu.

The Gunners wameendeleza pale walipoishia msimu uliyopita, kwa kushinda michezo miwili yote ya ufunguzi katika Premier League kwakuifunga Fulham na West Ham.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

38 Komentara

    goalkeeper makini sana fanya kazi kijana

    Jibu

    🔥

    Jibu

    Arsenal wamefanya Jambo jema

    Jibu

    Arsenal wamepata golikipa makini sana

    Jibu

    Kazi imebaki kidogo tuu kwa Arteta kuziba mapengo yaliyosalia

    Jibu

    Arteta anaimarisha kikosi chake

    Jibu

    Arteta amepata golikipa mzuri sana

    Jibu

    Imekaa poa sana

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa arsenal

    Jibu

    yuko vizuri sana

    Jibu

    Vizuri Sana golikipa yupo vizuri piga kazi baba

    Jibu

    Arteta bado ana kazi ya kunoa kikosi

    Jibu

    Pambana kijana uko vizuri

    Jibu

    Yuko vzuri Sana

    Jibu

    Ni safi kwa kuimarisha kikosi

    Jibu

    Goodnews

    Jibu

    Ni habari nzuri ila bado kukioanga kikosi vizuri na kocha kuwa na mbinu mbadala mana game inayokuja wanakutana na Liverpool

    Jibu

    Arsenal kwenye usajil hawajawai kukosea kabisa

    Jibu

    Usajili mzur kikosi kinazidi kuimarika!!

    Jibu

    Arsenal wamejizatit kurud zama zao

    Jibu

    Amenunuliwa kwa bei sawa na bure. Martinez alikuwa mahiri langoni sidhani kama Runarsson atakuwa mbadala sahihi#meridianbettz

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Arsenal wamejipanga vyema kurudi enzi zao

    Jibu

    Arsenal wamesajir San msim huu

    Jibu

    Arsenal hawana mpinzani

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Arsenal wamefanya jambo zuri

    Jibu

    Arsenal wako makini kwenye usajili

    Jibu

    naona arteta msimu huu hataki kabisa masihara

    Jibu

    Yuko vizuri sana

    Jibu

    Arsenal wameula

    Jibu

    Mzuri for replacement

    Jibu

    Golikipa yupo vzr

    Jibu

    Arsenal wamefanya Jambo zuri

    Jibu

    Kikosi kitakuwa kizuri

    Jibu

    Kikosi makini

    Jibu

    Kazi imebaki kidogo tuu kwa Arteta kuziba mapengo yaliyosalia

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.