Mane: Thiago Ataipeleka Liverpool Levo Nyingine.

Thiago Alcantara ataipeleka Liverpool katika “Levo nyingine” ikiwa Jurgen Klopp anajenga utawala hapo Anfield.

Hayo yalikuwa ni maono ya mchezaji mwenzake wa Liverpool Sadio Mane, ambaye amefurahia kuona Alcantara akihama kutoka kwa mabingwa wa Champions League 2019-20 Bayern Munich kwenda kwa mabingwa wa Premier League 2019-20 Liverpool.

Mane: Thiago Ataipeleka Liverpool Levo Nyingine.
Thiago Alcantara

Ni usajili ambao ulikuwa ukifikiriwa sana na mashabiki wa Liverpool na wachezaji wamependa usajili huo, na Mane ambaye alimkaribisha Diogo Jota na Kostas Tsimikas- amefurahia kuwa na Wahispania hao kwenye kikosi.

“Nadhani sio mashabiki pekee ambao wamefurahishwa na ujio wa Alcantara,” aliiambia tovuti rasmi ya klabu.

“Hakika mimi na wachezaji wengangu tumefurahi sana kuwa na mchezaji mwenye kiwango kama Alcantara inatufanya tuwe bora maradufu.

Sadio Mane aliweka kambani goli zote mbili kwenye mchezo dhidi ya Chelsea, mchezo ambao Alcantara alicheza pia.

Thiago alipiga pasi 75 zilizo kamilika na kuwa mchezaji ambaye alipiga nyingi kuliko mchezaji mwingine yoyote ndani ya dakika 45 katika Premier League tangu mwaka 2003.

Anatarajia kucheza kwa mara nyingine Liverpool watakapo kabiliana na vijana wa Arteta, Arsenal siku ya Jumatatu lakini pia vijana wa Klopp waliichapa Leeds goli 4-3 katika mchezo wa kwanza wa ligi.


FURAHIA KASINO YA MTANDAONI

Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.

Cheza Sasa

36 Komentara

    Ni kweli mane hajakosea thiago yupo vizuri

    Jibu

    Kweli kabisa Thiago ni kiungo mahiri

    Jibu

    True say

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Thiaho yupo vizur

    Jibu

    Saf kalb Thiago

    Jibu

    Kila la kheri kwake

    Jibu

    Safii kabisa wazee wakazi hao nawakubali

    Jibu

    Kila la kheri uendako

    Jibu

    Thiago ni kiungo mahiri

    Jibu

    Thiago mtu mzuri anajuwa kazi yake

    Jibu

    habar njema

    Jibu

    Ni Jambo zuri

    Jibu

    Ni kweli kabisa thiago ni mtu mwingine

    Jibu

    Thiago hafai

    Jibu

    Ukiangalia style ya uchezaji wa Thiago unaweza sema Liverpool ya sasa itakuwa na De Bruyne wao

    Jibu

    Thiago alionyesha uwezo mkubwa alipoingia kipindi cha pili mechi ya Liverpool dhidi ya Chelsea#meridianbettz

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Habari njemaa

    Jibu

    Thiago alipiga pasi 75 zilizo kamilika na kuwa mchezaji ambaye alipiga nyingi kuliko mchezaji mwingine yoyote ndani ya dakika 45 katika Premier League tangu mwaka 2003.

    Jibu

    Thiago fundi

    Jibu

    Anajuaaa

    Jibu

    usajili mzuri tunategemea mazuri kutoka kwa thiago

    Jibu

    Juhudi na kujituma ndio kila kitu kwa thiago!!

    Jibu

    Namkubali sana Thiago

    Jibu

    Thiago ni mchezaji wa aina yake

    Jibu

    Thiago namkubali sana

    Jibu

    Fundi wa mpira#meridianbettz

    Jibu

    thiago ataki kabisa masihara anapambana zaidi ili asije akawekwa benchi

    Jibu

    Tuweke maneno ya Akiba

    Jibu

    Thiago yupo vizuri lazima ataisaidia liverpool

    Jibu

    Chicago tunakukubal sana

    Jibu

    Fundi pambe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.