Tetesi za Soka Barani Ulaya.


Tetesi zinasema Kiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba, 27, anataka kujiunga na Barcelona kwa uhamisho huru dirisha lilajo la usajili la majira ya joto.

Kiungo wa Arsenal, mjerumani Mesut Ozil, 31, mapema mwezi huu alikataa ofa ya mshahara wa £200,000 kwa wiki kuondoka kwa washika bunduki hao na kutua Ligi ya Saudi Arabia (SPL).

Mlinzi wa Ujerumani Antonio Rudiger, 27, amesema anataka kurejesha nafasi yake ndani ya kikosi cha Chelsea baada ya uhamisho wake kukwama katika dirisha la usajili lililopita.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema mshambuliaji wa Manchester City na Argentina Sergio Aguero, 32, hana mpango wa kuhamia Italia licha ya kusakwa na klabu ya Inter Milan ya ligi ya Serie A.

Chelsea wanajiandaa kuanza mazungumzo ya kuongeza mkataba na kiungo wake kutoka Italia, Jorginho, ambaye alihusishwa na mipango ya kuhamia Arsenal wakati wa dirisha la usajili lililopita.

Tetesi zinasema Meneja wa zamani wa Juventus Max Allegri anaweza kuwania nafasi ya Ole Gunnar Solskjaer , kama Manchester United watamtimua kocha wake huyo.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Mshambuliaji wa Liverpool na Switzerland Xherdan Shaqiri, 29, amesema aliamua kubaki kwenye klabu yake wakati wa usajili wa majira ya joto, licha ya kuhusishwa kutaka kuondoka kwa mabingwa hao wa ligi kuu ya Engalnd.

Manchester United haikuwasilisha ofa yoyote kwa ajili ya mshambuliaji wa Bayern Munich na Ufaransa Kingsley Coman, 24, wakati wa dirisha la usajili, anasema mkurugenzi mtendaji wa klabu hiyo ya Ujerumani Hasan Salihamidzic.

Tetesi zinasema West Brom imekubaliana ada ya uhamisho ya karibu £15m na klabu ya Huddersfield kwa ajili ya uhamisho wa mshambuliaji wa Kiingereza Karlan Grant, 23.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema Juventus imeungana na Manchester City katika mbio za kumuania mlinzi wa Bayern Munich na Austria David Alaba, 28.

Liverpool wako tayari kumuachia kwa mkopo Harry Wilson , lakini ilikataa ofa ya Swansea City kwa ajili ya winga huyo mwenye umri wa miaka 23.


Unapenda kuwa shujaa?

Naam, hapa ni mahali pako! Kuwa shujaa kwenye sloti hii ya Samurai Ken ujishindie mkwanja na kujipa burudani murua. 

Cheza sasa 

Samurai Ken Online Casino

24 Komentara

    Itakuwa poa sana Pogba kwenda huko Barcelona

    Jibu

    Pogpa Ni kijana makini sana atafanya mabadiliko mengi

    Jibu

    Pogba wewe baki tuu hapo hapo man U upige mpila

    Jibu

    Pogba nenda kafanye kazi

    Jibu

    Barcelona wakimpata Pogba watakuwa wamelamba dume

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa.

    Jibu

    Pogba yupo vizuri sana nenda kafanye kazi

    Jibu

    Ni kiungo mahiri hongera kwake

    Jibu

    Man u wakimuuza pogba watakuwa wamekosea

    Jibu

    Barcelona kama ni kweli basi vizuri

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Pogba ndani ya Barca ni kisanga kingine

    Jibu

    Kapige Kazi pogba

    Jibu

    mmmh sidhani Kama man u wataweza kumuuza pogba

    Jibu

    Barcelona wakimpata Pogba watakuwa wamelamba dume

    Jibu

    Asnt kwa taarif meridianbet

    Jibu

    pogba nae atulie tu united

    Jibu

    Taarifa njema

    Jibu

    ozil hanawakati mgumu sana kuondolewa arsenal

    Jibu

    Timu zifanye usajili makin

    Jibu

    Nice updated

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.