Bosi wa Tottenham Jose Mourinho amepokea adhabu ya kukosa mchezo mmoja katika mashindano ya Ulaya, UEFA imetangaza.
Mourinho amekutana na rungu hilo baada ya kuchelewa kufika katika mchezo wao waliyopoteza kwa 1-0 kwenye michuano ya Europa dhidi ya Royal Antwerp mwezi Oktoba 29.
Bosi huyo wa Spurs alipatikana na kosa na atawajibishwa baada kuchelewa kufika katika dimba la Bosuilstadion mjini Antwerp mwezi uliyopita, ingawa adhabu hiyo ilimsababisha awekwe kwenye matazamio ya kipindi cha mwaka mmoja, kuanzia tarehe ambayo maamuzi yamefanyika.
Tottenham pia ilipigwa faini ya €25,000 (£23,000) kwa kuchelewa kwenye mchezo huo wakati timu hiyo ya Premier League pia ilitozwa faini nyingine ya €3,000 (£2,600) kwa kukiuka sheria ya UEFA
Spurs wapo juu kwenye kundi J katika mashindano ya Europa baada ya mechi tatu mbele ya Antwerp na LASK ambao wana alama sawa lakini wemtofautiana magoli.
Timu ya Mourinho imepata ushindi wa pili katika michezo 10 ya Europa League baada ya kuifunga Ludogorets mapema mwezi huu.
Harry Kane amekuwa mchezaji wa tatu wa Tottenham kufunga 200 katika mashindano yote baada ya Jimmy Greaves (266) na Bobby Smith (208).
Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!



Carolyn
Mourinho jifunze kwenda na muda
Adelta
Yani ni majanga
Angelina
Ndo ajifunze kutokana na makosa
magdalena
acha tu afungiwe ili siku nyingine ajifunze makosa yake
Lydia Emmanuel Magoti
Duu sio poa azabu kali hiyo
Rahma
Duuh atali na nusu
Dorophina
Mourinho atajifunza kutokana na makosa
Tatu
Mourinho ndio atajifuza siku nyingine
Antony Luseno
Kwa adhabu hii natumai atajifunza na kosa lake
Sauda
Pole sana Mourinho
Fatina mfingi
Pole sana ndo ujifunze kutokan na mkosa!!
Hopemwaikuka
Mourinho tatzo anajikuta mjuag sana
Issa
Mourinho ana maneno mengi muda wote anahis marefa wanamfanyia tofauti
Povel
Sheria imefuata mkondo wake hapo
aisha
Jose mourinho amekua anawashushia lawama marefa kwa kipind kirefu
Ester jackson
Duuh ila sheria ni msumeno
Janeflora malisa
Atajifunz jmb
David Pere
Kwa adhabu hii natumai atajifunza na kosa lake
Saupha mohamed
Pole sana
zeiyana
Mourinho n mtukutu miaka yote,,kashafungiwa mara kibao akiwa italia hata Hispania.
Sabrina
Mourinho sio poa ni mkorofi kidogo haya mambo lazima ya mtokee
Mwajumah
Duuh