Alvaro Morata anasema Cristiano Ronaldo kama mmoja wa wachezaji bora wa wakati wote na anatarajia kuwaambia watoto wake alicheza pamoja na fowadi wa Juventus.
Mshindi mara tano wa Ballon d’Or Ronaldo amefunga mabao 19 katika michezo 18 katika msimu wake wa tatu na mabingwa wa Serie A Juve.
Morata alirudi uwanjani Allianz kutoka Atletico Madrid kwa mkataba wa mkopo wa awali Septemba iliyopita na amefunga mabao manne na asisti tano katika mechi 12 za ligi.

Wawili hao pia walitumia wakati pamoja huko Real Madrid na Morata anasema ni raha kuungana tena na nahodha huyo wa Ureno.
“Ni rahisi kucheza naye,” aliiambia Sky Sport Italia. “Nimemjua kwa muda. Katika nyakati kadhaa wakati mtu wa kawaida asingewezakufunga, yeye anafunga.
“Katika mchezo dhidi ya Parma nilimpa msaada ambao yeye tu ndiye anayeweza kuona na kuelewa. Ninaelewa harakati zake na kile anapenda kufanya.

Juventus wanasafiri kwenda kwa wanao shikilia nafasi ya pili Inter siku ya Jumapili wakilenga kupunguza gepu la alama nne kwa wapinzani wao, ambao wana mchezo mikononi.
Mchezo wa Jumapili wa Derby d’Italia utakuwa wa 175 katika historia ya Serie A, na ushindi wa Juve mara 84 kwenye mechi hii ni bora zaidi kwa timu dhidi ya mpinzani katika ligi kuu ya nchini Italia.
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!



Shakila mrope
Inapendeza san
Magdalena
Jambo jema lenye historia nzuri
Caroline
Morata unashoboka
Rahmal
Abali jema
Angelina
Nice update
lombo
vzr
Dorophina
Morata yupo sahihi Cr7 mtu wa tofauti sana
Sadick
Dah inawezekana watoto watataka kujua zaidi kwanini hakuwa kama CR7! bila shaka atajua cha kujibu
Ernest Kimeru
Watafurahi sana
Lydia Emmanuel Magoti
Itakuwa vizuri sana
Issa
Morata ni safi
felister
Jambo jema
Hopemwaikuka
Ni vzur pia
warda
Safi sana mtu akikubali