Denes Hanitishi - Mwakinyo

Bondia nyota nchini Hassan Mwakinyo amesema kamwe hatishwi na rekodi za Brendon Denes wa Zimbabwe katika pambano la ubingwa wa Afrika wa ABU wa uzito wa Superwelter.

Mabondia hao watapanda uliongoni Mei 28 kwenye ukumbi wa Next Door Arena, na rekodi zikionyesha Denes HAJAPOTEZA hata pambano moja na ameshinda kwa KO katika mapambano MATANO kati ya nane aliyocheza.

mwakinyo

Mwakinyo amesema kwa sasa anajiandaa vyema na pambano hilo na lengo lake ni kuendeleza ushindi ili kuendelea kutawala mchezo huo.

“Niko katika mfungo wa Ramadhan lakini sio kigezo cha kuacha mazoezi, bado naendelea tena kwa nguvu zaidi lengo langu ni moja tu kuwapa raha Watanzania kwa ushindi”.

Mbali na pambano hilo bondia Ibrahim Class naye atazichapa na bondia Sibusiso Zingangwe wa Afrika Kusini, wakati bondia nyota Shabani Jongo atapigana na bondia kutoka Nigeria, Olanrewaju Durodora.


TENGENEZA FAIDA KUPITIA MCHEZO WA TITAN DICE UKIWA NA MERIDIANBET KASINO

Unapokuwa kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, huna sababu ya kucheza kwa mashaka. Titan Dice, ni mchezo unaweza kukupatia mamilioni kwa mzunguko mmoja!

SOMA ZAIDI

13 Komentara

    Kujiamini ndo mpango mzima mwakinyo unaweza songa mbele#meridianbett#

    Jibu

    Mwakinyo anajiamini sana

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Pambano litakua la aina yake ngoja tuone.

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Yuko vizuri

    Jibu

    Ngum jiwe

    Jibu

    Mwakinyo bingwa

    Jibu

    Mwakinyo oyee

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Jamaa anajikubali sana

    Jibu

    Jamaa Yuko vzrii

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.