Dortmund na Chelsea, Kuna Dili kwa Hakim Ziyech?

Klabu ya Borussia Dortmund inaripotiwa kuwa inataka kujaribu kufukuzia saini ya nyota wa Chelsea Hakim Ziyech.

Katika msimu ambao amekuwa akipambana na majeraha, Ziyech amecheza mechi 11 huku mechi tano akitokea benchi katika mashindano yote.

Hata hivyo, taarifa zinabamba zaidi kuwa Mmorocco huyo anatatizwa na kukosa muda wa kutosha wa kucheza katika kipindi cha kwanza cha msimu.

Dortmund na Chelsea, Kuna Dili kwa Hakim Ziyech?

Kwa mujibu wa Bild, mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 ‘hajaridhishwa’ na hali yake Stamford Bridge na yuko tayari kuondoka the Blues.

Dortmund inadaiwa kumtambua Ziyech kama kipaumbele chao mwezi Januari huku wakitaka kupambana na vinara wa Bundesliga Bayern Munich.

Hata hivyo. bila kujali kama ni dili la kudumu au la mkopo kwa Ziyech, kocha mkuu wa Chelsea Thomas Tuchel anatarajiwa kukataa kutengana na mchezaji huyo ambaye amemsifu sana katika wiki za hivi karibuni.


ANZA MSIMU WA SIKUKUU NA BURST THE BANK

Fanya wiki yako iwe ya ushindi mkubwa ndani ya kasino za mtandaoni za meridianbet. Mchezo wa BURST THE BANK🔥🤑 ni moja kati ya mchezo pendwa unaowapa wachezaji mamilioni kila siku. Kwa dau dogo unashinda zaidi.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.