Xherdan Shaqiri Kuwepo Chicago Fire kwa Miaka 3

Klabu ya Chicago Fire imetangaza kumsajili winga wa Lyon Xherdan Shaqiri kwa mkataba wa miaka mitatu.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 30 aliondoka Liverpool na kujiunga na timu ya Ufaransa msimu wa joto, akiwa amecheza mechi 13 na mechi tatu akitokea benchi tangu uhamisho huo.

Hata hivyo, ilibainishwa Jumatano kwamba mchezaji huyo wa kimataifa wa Uswizi alihamia MLS, akiungana tena na mkurugenzi wa michezo Georg Heitz ambaye alifanya naye kazi huko Basel.

Xherdan Shaqiri Kuwepo Chicago Fire kwa Miaka 3

Heitz alisema: “Tunafuraha kubwa kumkaribisha rasmi Xherdan Shaqiri hapa Fire. Xherdan ni mchezaji anayebadili mchezo na mtu ambaye ataleta furaha kwa wafuasi wetu na jiji la Chicago.

“Kama mmoja wa wachezaji wa Uswizi walio bora zaidi wa kizazi chake, Xherdan anajiunga nasi katika wakati muhimu sana kwa klabu na anaamini katika kile tunacholenga kukamilisha. Tunatazamia kumkaribisha yeye na familia yake Chicago hivi karibuni.”

Chicago wamedaiwa kulipa takribani dau la £5.5m kwa Shaqiri.


KASINO YA MTANDAONI: EMOTICOINS SABABU YA KUVUNA ZAIDI.

Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.

senegal, Senegal Mabingwa AFCON 2021., Meridianbet

CHEZA HAPA.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.