Stephen Kenny Aongeza Mkataba Mpaka 2024

Kocha mkuu wa timu ya taifa ya jamhuri ya watu wa Ireland Stephen Kenny ameongeza mkataba wa kuifundisha timu hiyo mpaka mwaka 2024 chama cha soka “Football Association of Ireland’ (FAI) kimethibisha hilo.

Stephen Kenny ataendelea juifundisha timu hiyo kwenye michezo ya Uefa European Championship, Pia mikataba mipya ya makocha wasidizi na benchi la ufundi imekubaliwa ambapo, Keith Andrews, Dean Kiely, Stephen Rice na Damien Doyle nao wamesini mikataba mipya.

Mitazamo ya wachezji imekuwa ya kipekee, tumekuwa tukikuwa pamoja na kuwa timu moja na mimi, pamoja na keith Andrews na benchi lote la ufundi, natumai kuona timu ikitimiza ndoto zake.” Alisema Kenny

“Kurudi kwa mashabiki hivi karibuni viwanjani,  nataka kuutambau ule umuhimu wa hisia za mashabiki wa Ireland wakiwa nyumbani au ugenini.”


VUNA MKWANJA NA SHINDANO LA EVOPLAY SPRING AWEKING

Mchongo mpya mjini ni Shindano la Evoplay Spring Aweking katika kasino maridhawa za meridianbettz. Pata mgao wako wa TSh 25,000,000  katika michezo kibao ya kasino na sloti ziliyochaguliwa kushiriki.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

SOMA ZAIDI HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.