LA Clippers Wameitoa Dallas Mavericks
Anga la NBA linaendelea kutimua vumbi kwa michezo ya Mtoano (Play-Off). LA Clippers walikuwa uwanjani kukipiga dhidi ya Dallas Mavericks jijini Orlando, Florida. LA Clippers wafuzu hatua ya pili kunako …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Anga la NBA linaendelea kutimua vumbi kwa michezo ya Mtoano (Play-Off). LA Clippers walikuwa uwanjani kukipiga dhidi ya Dallas Mavericks jijini Orlando, Florida. LA Clippers wafuzu hatua ya pili kunako …
Katika muendelezo wa michezo ya NBA 2020/21. Milwaukee Bucks na Dallas Mavericks, wametoka kimasomaso katika michezo yao waliyocheza usiku wa kuamkia leo. Bucks wakiongozwa na Giannis Atentokounmpo, waliwalaza Indiana Pacers …
Mark Cuban mmiliki wa Dallas Mavericks anatumaini wachezaji wa ligi ya kikapu nchini Marekani NBA wataruhusiwa kupiga goti wakati wa kuimba wimbo wa taifa hilo. Uongozi wa NBA, wachezaji, …
Boston Celtics walitangaza jana kwamba wamemsajili mshambiliaji Kristaps Porzingis kwa nyongeza ya kandarasi ya miaka miwili. Ingawa masharti ya mkataba huo hayajatangazwa, ripoti nyingi zilionyesha kuwa mpango huo ungeilipa …
LeBron James anakosa mchezo wa Los Angeles Lakers dhidi ya Memphis Grizzlies baada ya kuonekana kupata jeraha katika mechi yake ya mwisho. James alikuwa akichechemea hadi mwisho wa ushindi …
Fainali ya NBA 2022 inanukia, timu ya kwanza imeshajulikana. Ni Golden State Warriors, mabingwa wa Western Conference 2022. Warriors wamefanikiwa kutwaa ubingwa wa fainali ya Western Conference baada ya kuwaburuza …
Fainali ya Western Conference kunako NBA inaendelea kunoga kati ya Golden State Warriors na Dallas Mavericks. Vijana wa Kerr wanajambo lao msimu huu. Baada ya kuwa na msimu mbaya mwaka …
Burudani ya mchezo wa kikapu inaendelea viwanjani. Msimu wa 2021/22 kunako NBA ni visa na mikasa. Vipigo vya kila namna kwa wasiotegemewa kupoteza michezo. Milwaukee Bucks walikuwa uwanjani kuchuana na …
Ni wiki ya 2 kunako Ligi ya NBA nchini Marekani na timu mbalimbali zimeendelea kuonesha uwezo viwanjani. Hakika, Golden State Warriors gari limewaka! Baada ya kuwacharaza LA Lakers kwenye mchezo …
Klabu ya Los Angeles Lakers wamesajili rasmi mkongwe DeAndre Jordan kwenye orodha yao, baada ya kutangaza rasmi jana [Alhamisi] usiku. Masharti ya usajili huo hayajatolewa, ingawa jarida la …
NBA imefikia kwenye hatua yenye burudani lukuki. Hatua ya nusu fainali inaendelea kurindima kwenye viwanja kadha wa kadha. Atlanta Hawks, yawalaza na viatu Philadelphia 76ers kunako mchezo wa kwanza wa …
Mambo si mambo kunako timu ya Golden State Warriors, kwa misimu miwili mfululizo, wanashindwa kufuzu hatua ya Play-Offs kunako NBA. Warriors ambao wameendelea kuwa na msimu mbaya msimu huu, walijikuta …
Hatua yenye burudani kunako Ligi ya NBA huwa ni michezo ya mtoano (play-Offs). Huku ni timu 2 kuchuana mara 7, hakuna kubahatisha! Miami Heats wamefuzu hatua hiyo. Katika muendelezo wa …
Burudani ya ligi ya NBA mara zote inaendana na kufikiwa/kuwekwa au kuvunjwa kwa rekodi kadha wa kadha. Jumatatu hii, Stephen Curry ameweka rekodi ndani ya timu yao ya Golden State …
Safari ya Denver Nuggets ya kutopoteza michezo 8, imesitishwa na Boston Celtics katika muendelezo wa NBA msimu huu. Licha ya Celtics kuongozwa kwa pointi 79-65 katika robo ya tatu, mambo …
Hali sio shwari kwenye timu ya Golden State Warriors msimu huu kunako NBA. Idadi ya michezo wanayopoteza inazidi idadi ya michezo wanayoshinda, kulikoni?? Usiku wa kuamkia leo, Warriors walikuwa uwanjani …
Kunako muendelezo wa NBA, Milwaukee Bucks wamejinasua kwenye msururu wa vipigo vitatu mfululizo kwenye mchezo dhidi ya LA Lakers. The Bucks walikuwa uwanjani kuchuana na Lakers usiku wa kuamkia leo …
Hakika NBA msimu huu mambo ni moto! Sio kwenye Eastern wala sio Western Conference, kote mambo ni mazito. Utah Jazz na LA Lakers, vita ya kusaka ubingwa inaendelea kuwa ya …
Uongozi wa NBA unategemea timu zote zinazoshiriki ligi hiyo, zitaimba wimbo wa taifa kabla ya michezo yao. Tamko hili linakuja baada ya mmliki wa timu ya Dallas Mavericks kusema hawategemei …
Muendelezo wa NBA 2020/21 mambo yanaendelea kushika kasi siku baada ya siku. Usiku wa kuamkia leo, LeBron James ameendelea kuwa shujaa wa LA Lakers. Lakers walikuwa uwanjani kuchuana na Oklahoma …