NBA: Bucks na Mavericks Wametoka Kimasomaso

Katika muendelezo wa michezo ya NBA 2020/21. Milwaukee Bucks na Dallas Mavericks, wametoka kimasomaso katika michezo yao waliyocheza usiku wa kuamkia leo.

Bucks wakiongozwa na Giannis Atentokounmpo, waliwalaza Indiana Pacers kwa pointi 130-110. Giannis akimaliza mchezo kwa kupachika “triple double” (pointi 21, pasi 10 na mipira 14 iliyokufa)

Upande wa pili, Dallas Mavericks wamekata kamba ya kupoteza michezo 6 mfululizo kwenye NBA msimu huu. Mavericks wamewalaza Atlanta Hawks kwa pointi 122-116.

Luka Doncic (kushoto) katika ubora wake.

Luka Doncic alikuwa shujaa wa Mavericks kwa kupachika “double-double” (pointi 27  na pasi 14 za magoli).

Matokeo ya michezo iliyochezwa Jumatano usiku:

Philadelphia 76ers 118-111 Charlotte Hornets, Los Angeles Clippers 121-99 Cleveland Cavaliers, Washington Wizards 103-100 Miami Heat, New York Knicks 107-103 Chicago Bulls, Oklahoma City Thunder 104-87 Houston Rockets, San Antonio Spurs 111-108 Minnesota Timberwolves, New Orleans Pelicans 123-101 Phoenix Suns na Sacramento Kings 116-111 Boston Celtics


TENGENEZA FAIDA KUPITIA KASINO YA MERIDIANBET

Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.

Neptune's-Riches_Casino-Post_30-January

Cheza hapa

14 Komentara

    Safiii

    Jibu

    Mechi ilikuwa ngumu kwa kila timu

    Jibu

    Hii ilikuwa ngumu kumeza

    Jibu

    Haikuwa bahati kwao

    Jibu

    Vizuri

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Hongera sana

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    NBA ya moto sana msimu huu

    Jibu

    Wababe hawa

    Jibu

    Wametisha

    Jibu

    Pongezi kwao

    Jibu

    Naikubali sana bucks

    Jibu

Acha ujumbe