Miaka 100 ya Celta Vigo Yafahamu Mambo 5 Kuhusu Timu Hiyo
Moja ya klabu za kihistoria kabisa katika soka la Hispania ni Celta Vigo, timu iliyoko katika mji wa Vigo huko Galicia. Katika msimu wa 2023/24, klabu ya Galician itasherehekea miaka …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Moja ya klabu za kihistoria kabisa katika soka la Hispania ni Celta Vigo, timu iliyoko katika mji wa Vigo huko Galicia. Katika msimu wa 2023/24, klabu ya Galician itasherehekea miaka …
LALIGA kutimua vumbi leo hii majira ya saa 4:30 kwa michezo miwili ambapo mchezo wa kuvutia utakuwa ni kati ya Real Madrid dhidi ya Celta Vigo. Madrid ambayo ipo …
Ripoti kutoka Uhispania zinaonyesha kuwa Fiorentina wameweka macho yao kwa mshambuliaji wa vijana wa Celta Vigo Miguel Rodriguez. Kulingana na Mundo Deportivo, kinda huyo mwenye umri wa miaka 20 …
Rafael Benitez anatarajiwa kuwa kocha mpya wa Celta Vigo ambayo ipo Uhispania. Klabu hiyo ya Uhispania imethibitisha makubaliano ya kimsingi yamefikiwa kwa kocha wa zamani wa Liverpool, Newcastle na …
Barcelona wametangaza kumkosa Ousmane Dembele wakiwa wanaenda kuumana na Celta Vigo. Sergino Dest pia ameondolewa kwenye kikosi cha Jumamosi dhidi ya Celta Vigo kwenye gemu ya La Liga kwa sababu …
Sergio Ramos hajatajwa katika kikosi cha Real Madrid kwenye mchezo wao wa LaLiga dhidi ya Celta Vigo siku ya Jumamosi. Nahodha huyo wa Madrid hakufanya mazoezi siku ya Ijumaa na, …
Oscar Garcia amefukuzwa na klabu ya Celta Vigo baada ya michezo tisa pekee msimu huu. Celta Vigo wapo nafasi ya 17 mbele ya washika mkia kwa tofaauti ya alama moja …
Ligi kuu ya Hispania maarufu kama LALIGA, imezidi kuwa ya moto zaidi baada ya upinzani kuongezeka ambapo kwasasa Girona ameingilia kati wale Mahasimu wawili wakubwa klabuni hapo baada ya kuwa …
Beki wa Real Madrid David Alaba amesema hakuwa na neno kufuatia mchezaji mwenzake Jude Bellingham kufanya vyema hivi karibuni. Madrid ya Alaba walionekana kupangiwa sare ya bila kufungana dhidi …
Corriere della Sera wanapendekeza kwamba Napoli wanafikiria kumpigia debe Sofyan Amrabat, ambaye amekuwa akisubiri kuhamia Manchester United. Kiungo huyo wa kati wa Morocco mwenye umri wa miaka 27 alionekana …
Klabu mbalimbali kutoka nchini Saudia Arabia zimeendelea kuleta balaa barani ulaya kwani zimeendelea kuzibomoa timu barani ulaya kwa kuchukua wachezaji wake. Ligi ya Saudia Arabia imeendelea kufanya vurugu katika usajili …
Bosi wa Celta Vigo Rafa Benitez amethibitisha kuwa Gabri Veiga yuko karibu kujiunga na Napoli na lazima wawe wakweli. Mabingwa hao wa Serie A wako mbioni kumsajili mchezaji huyo …
La Gazzetta dello Sport inaeleza jinsi Napoli wanavyofanya kazi kwa ajili ya kumnunua Gabri Veiga na wamekubali masharti ya kibinafsi na nyota huyo wa Celta Vigo. The Azzurri kwa …
Cristiano Ronaldo anasema Serie A ‘ilikuwa imekufa’ alipojiunga na Juventus na popote anapoenda anazalisha maslahi makubwa zaidi. Ronaldo alizungumza na waandishi wa habari jana jioni kufuatia kupoteza kwa Al-Nassr …
Barcelona imefanikiwa kupata taji lao la kwanza la LaLiga tangu 2019 baada ya kuwafunga wapinzani wao wa jiji la Espanyol kwa mabao 4-2. Sherehe hizo zilikatizwa, hata hivyo, wakati …
Vyanzo vya karibu na Luis Enrique vinaamini kuwa Julian Nagelsmann ndiye anatazamiwa zaidi kupewa kibarua cha kuionoa Chelsea kwa mujibu wa talkSPORT. Odds kubwa za soka unazipata Meridianbet Kasino ya …
Klabu ya Napoli imemuongezea mkataba Stanislav Lobotka hadi Juni 2027 huku klabu hiyo ikiwa na chaguo kwa mwaka mmoja zaidi baada ya hapo. Mchezaji huyo wa Kimataifa wa Slovakia …
Kiungo wa klabu ya Atletico Madrid Koke amefanikiwa kuweka rekodi nyingine ndani ya klabu hiyo baada ya kufanikiw akua mchezaji aliecheza michezo mingi zaidi ya La Liga klabuni hapo. Kiungo …
Beki wa Real Betis Luiz Felipe amefikia rekodi ambayo bado haijawekwa baada ya kutimuliwa uwanjani hapo jana kwenye mchezo wao waliokuwa wanacheza dhidi ya Celta Vigo. Kutolewa kwake katika …
Luis de la Fuente ameteuliwa kuwa kocha mpya wa Hispania, akichukua nafasi ya Luis Enrique ambaye ameachishwa kazi mapema leo. Hispania iliondoka kwenye Kombe la Dunia Jumanne baada ya …