Michezo ya Tokyo Olympics mwaka huu uwenda ikawakosa wachezaji nyota wa NBA endapo msimu mpya wa NBA utaanza Januari.
Kutokana na mlipuko wa COVID19, msimu wa NBA ulipangwa kuanza Disemba lakini mkurugenzi wa ligi hiyo anasema kunauwezekano ikasogezwa mpaka Januari.
Adam Silver amenukuliwa akisema, “Inawezekana wachezaji nyota 15 wakakosekana, lakini wengine watakuwepo. Kimsingi kuna wachezaji wengi wa NBA wanaoshiriki Olympics katika mataifa mengine.”
Timu ya wanaume ya NBA itakuwa inatafuta taji la 4 mfululizo kwenye Mashindano ya Tokyo. Timu ya mwaka 2016 ilikuwa na wachezaji kama Kevin Durant na Kyrie Irving wa Brooklyn Nets, Klay Thompson wa Golden State Warriors na Carmelo Anthony wa Portland.
FURAHIA KASINO YA MTANDAONI
Tembelea ardhi ya maajabu ushangazwe na mengi ikiwa ni pamoja na urahisi wa kujipatia utajiri kupitia Kasino ya Meridianbet.


Shan
Korona pigo sana kwa wanamichezo
aisha
Covid 19 ni ugonjwa wa kutisha sana
magdalena
huu ugonjwa ata sijui mwisho wake ni lini maana unavuruga mambo mengi sana
Sauda
Corona hatari sana
Adelta
Coronavirus sio poa kabisa mungu atuepushe
Fatina
Corona tishio la dunia!
Angelina
Hatari
Mwanahamisi
Corona hatari sana
Rose kapinga
Corona haipoi!!!
Issa
Tutakosa uhondo
Khadija
Jamani wanakosekana vip sasa wachezaji
Hopemwaikuka
Jamanii
Sabrina
Duh hatari
felister
jamani corona tuache kidogo
Sadick
Olympic games bila wachezaji wa NBA haitanoga kwasababu ligi hiyo imekusanya wachezaji kila pembe duniani #meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Duu Atari sana
Ernest
Kutakuwa hakuna mvuto kabisa
Tatu
Corona sio poa
Samiah
Corona sio poa
Chiku
Homa ya jiji