Conor McGregor: Khabib Nurmagomedov Amestaafu kwa Sababu Yangu

Conor McGregor amesema kuwa mpinzani wake Khabib Nurmagomedov anajua kile ambacho kingetokea kama wangekutana tena ulingoni. Anaamini kuwa yeye ndiye sababu ya Khabib kustaafu.

Bondia huyu anasema kuwa Khabib ni mwoga wa kushindwa, na ameogopa asije akapoteza mechi dhidi yake na kuamua kustaafu.

Baada ya kushinda mechi ya UFC 254 dhidi ya Justin Gaethje, Khabib aliangaza kuwa ameamua kustaafu kupambana ndondi mchanganyiko (Mixed Martial Arts).

Kutangaza kwake kustaafu kuliwashitua wengie wanaopenda ndondi. Khabib alimtandika McGregor kwenye pambano la UFC 229, Oktoba 2018. Tangia hapo hawajapanda ulingoni pamoja.

Khabib v McGregor
Khabib v McGregor

McGregor, ambaye alikuwa anatazamia kwa hamu kubwa pambano la marudiano na bondia huyu amesema kuwa safari hii hali ilikuwa inaenda kuwa tofauti kabisa na bahati mbaya ni kuwa Khabib alijua hilo mapema na kwa woga ameamua kustaafu.

Hata hivyo, raisi wa UFC Dana White anaamini kuwa Khabib anaweza kurejea na kupambana kukamilisha mapambano 30-0 ya ushindi.

Conor pia alitangaza kustaafu ndondi mchanganyiko, lakini anatarajiwa kupitia tena uamuzi wake ili apande ulingoni dhidi ya Dustin Poirier.


 

 

UMEJARIBU HII POKER YA VIDEO?

Jaribu sasa hapa Meridianbet. Ukiacha ukweli kuwa itakupa burudani maridadi, bado inakuhakikishia ushindi mkubwa. Kazi kwako kukusanya ushindi!

Meridianbet Casino

INGIA MCHEZONI!

30 Komentara

    Duuh mbona mapema sana kustafu

    Jibu

    Nikawaida sana kwa wapizani kutupiana vijembe kwa sababu fulani lakini mimi bado sijaina kama no sababu ya msingi ya kumuogopa ingawa katika ulingo kunakushindwa na kushinda labda kustafu kwake kunasababi za msingi lakini sifikiri kama ni uwoga

    Jibu

    Hakuna kitu ambacho kinakosa sababu kila kitu lazima kiwe na sababu

    Jibu

    Pole yakee

    Jibu

    Suala la uwoga kwa bondia Khabib halipo kabisa labda astaafu kwa sababu nyingine.

    Jibu

    Ni vizuri huwezi kujuwa ameona nini

    Jibu

    Vizuri labda yeye anajiona ngoja apumzike kwanza lakini kusema kumuogopa yeye amnakitu chanamna hiyo yeye kamua kupumzika

    Jibu

    Conor yupo sahihi khabib ameamua kumkimbia mpinzani wake

    Jibu

    Safi kwa upande wake

    Jibu

    Umri wake ushafika wa kustaafu

    Jibu

    Kazi na umrii

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Hatuwezi kuyaingilia hayi ni maamuzi yake ingawa mashabiki basi wanakiu nae

    Jibu

    Duuh mbona mapema sana kustaafu wakati bado tunamuhitaji

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    me naona ilifika tu mda wake wakupunzika ndondi na sio sababu ya uwoga wa kupigwa

    Jibu

    Gud

    Jibu

    Conor mbabe wa kickboxing

    Jibu

    Ni jambo nzur

    Jibu

    It’s ok

    Jibu

    Conor mkali wa mixfighting mwenye rekod nying kwa upande wake

    Jibu

    Ndondi zinachanganya sana Ubongo

    Jibu

    Vizur

    Jibu

    sio vibaya

    Jibu

    ni vizuri uwongozi wangepanga pambano lengine ili waondoe mzizi wa fitina

    Jibu

    Ni sawa

    Jibu

    duh hii ni balaa

    Jibu

    Safi kwa upande wake

    Jibu

    Mc gregor mwamba katika masubwi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.