Jack Grealish ameitwa katika kikosi cha wakubwa katika timu ya taifa ya Uingereza kuelekea michuano ya ligi ya mataifa ya Ulaya na huenda akacheza kwenye mchezo dhidi ya Iceland na Denmark, wakati Marcus Rashford na Harry Winks wameondoshwa kwenye kikosi cha England.
Grealish mwanzoni alisahaulika katika kikosi cha England ambao wapo kundi A2 na wamepangwa kukutana na Iceland siku ya Jumamosi na siku tatu baadaye Waingereza watarudi dimbani kuumana na Denmark jijini Copenhagen.
Nahodha huyo wa timu ya Aston Villa sasa amepangwa ndani ya kikosi na mwalimu Gareth Southgate ambapo mwanzo alikosolewa kwa kumuacha kiungo huyo wiki iliyopita.
Grealish aliiwakilisha timu ya vijana chini ya umri wa miaka 21 ya England ambayo pia ilikuwa chini Southgate mwaka 2016.
Mchezaji wa klabu ya Manchester United Rashford, atakosa michuano hiyo kufuatia kupata majeraha kwenye kifundo cha mguu, wakati kiungo wa Tottenham Winks pia hatokuwa sehemu ya klikosi cha England kutokana na majeraha kwa hiyo Southgate amekipanga kikosi cha wachezaji 24 pekee.
Rashford aliweka ujumbe Twitter siku ya Jumatatu: “Kamwe sitaki kuiangusha timu hii lakini ratiba imenibana sana.
“Nimejaribu kadri ya uwezo wangu lakini inanibidi kuangalia msimu mpya nikiwa nimeimarika kwaajili ya klabu na taifa langu. Kila la kheri vijana, nitajumuika nanyi nikiwa nyumbani.
SHINDA NA HI LO
Sasa hii ni rahisi zaidi kupata USHINDI! Unatabiri karata ipi ipo chini au juu, kisha unakusanya mkwanja wako.
Ester jackson
Pole sana Rashford. Mwenyez mungu akufanyie wepesi urudi kambibi
Saupha mohamed
Pole sana Rashford
Zeiyana
Rashford yupo vizuri sana ni mchezaji hanaye jituma sana akiwa dimbani..!pole sana
Sauda
Pongezi sana Grealish
magdalena
duh timu ya taifa imekosea sana kumtoa fundi kama rashford
felister
majeraha ndo yamesababisha mwenyezi mungu atakupa taafifu
Tatu
Rashford ana mapenzi ya dhati na timu yake kitendo cha kuumia kimemuuma sana kukosa kucheza
Caroline
Grealish yupo vizuri.
Aziza mushi
Ni mchezaji mahiri Sana.pole
Ernest
BINAFSI NAONA SOUTHGATE ANACHANGAMOTO KUBWA SANA KATIKA KIPINDI HIKI KUCHAGUA KIKOSI ATA KUMUACHA RASHFORD PIA KAPUYANGAAAA
Dorophina
Rashford yupo vizuri pole yake atakaa sawa
Sadick
Kwa sasa kocha wa England anachagua kubwa la wachezaji bora kuliko kipindi kingine chochote, hii ni nafasi ya Jack Grealish kuongeza thamani yake sokoni#meridianbettz
David Pere
Kwa sasa kocha wa England anachagua kubwa la wachezaji bora kuliko kipindi kingine chochote, hii ni nafasi ya Jack Grealish kuongeza thamani yake sokon
Lydia Emmanuel Magoti
Pole yake Rashford atakaa sawa tuu
Elika
Pole yake
Povel
Pole Rashford % winks natumain jack grealish hatatuonyesha kitu national timu
Salma ngende
Pole yake
Agness
Pole kwake
Janeflora malisa
Dah
Faraja molell
Sawa lakin rashford namkubal sana yuko vizur
Khadija
pole sana Rashford
rama
habari njema kwake anapaswa akaonyeshe uwezo hasa
aisha
Pole sana rashford utakaaa sawa tuu
Furahav
Kocha kafanya vizuri kumuita jack.
Hidaya
Pole yake
Rehema
Kocha ajafanya vibaya kumuita jack
Nasra
Grealish ni bonge la player kinachomuua Ni timu tu anayoichezea.
Shani
Graelish atakiwasha sana pale england
Hope mwaikuka
Kwann lakin mmemuacha rashford
Sabrina
Rashford mungu atakuponya
Amiri Kayera
Amestahili kwakwer
Issa
Graelish makini sana kukipiga england fowadi makin sana
Fatuma kasomo
Duh
Rose kapinga
Rashford pole sana,mungu ni mwema utapona tuuu na kurudi kiwanjani tena!!!
Saupha mohamed
Mchezaji mzuri sana
Shafii
Kwa kiwango cha grealish anastahili kuwepo kwenye kikosi cha taifa.
Latifa juma mohamed
Rashford ni kiungo Bora Sana.
Genia Sikaluzwe
Pole yake
Fatina mfigi
Pole mungu akufanyie wepec upone mapema
Gabriel
wachezaji bora kuliko kipindi kingine chochote, hii ni nafasi ya Jack Grealish kuongeza thamani yake
Samiah
Pole yake
farida ahmadi
Pole sana rashford
Mwanahamisi
Pole yake
warda
Vizuri sana