Leeds hawajataka kupoteza muda katika mchakato wa mumpata mabadala wa Marcelo Biesla ambaye alifungashwa vilago wiki iliyopita na kumteua kocha wa zamani wa RB Leipzig Jesse Marsch kama kocha mkuu wa klabu hiyo.
Leeds ilimfuta kazi Biesla kufuatia kipigo kikali cha 4-0 kutoka kwa Tottenham wakati pia wakiweka rekodi isiyotakiwa ya kufungwa mabao 20 ndani ya michezo mitano 5 hivyo kufanya uamuzi wa haraka wa kuilinda timu isishuke daraja.
Bosi huyo mpya wa Wazungu alisema: “Moja ya mambo ninayopenda kuhusu timu hii kwa sasa ni kujitolea kwao.
“Haijalishi jinsi michezo imekuwa ngumu, kucheza hadi mwisho, kupigana kwa kila mmoja na kamwe kuacha – mawazo haya, mawazo haya, ndivyo hivyo.
“Akili ya kupigania mashabiki na kupigania kila mmoja, hii ndio ninaipenda.”
Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.