Manchester City Kumuongezea Mkataba Guardiola.

Klabu ya Manchester City ipo mbioni kumuongezea mkataba wa miaka mitatu Pep Guardiola ili aendelee kusalia klabuni hapo mpaka mwaka 2023.

Ripoti kutoka katika vyanzo vya kuaminika vya timu hiyo vinaarifu kuwa dili hilo la Guardiola ni maandalizi ya kumsajili Lionel Messi kutoka Barcelona.

City wanaamini kwamba wapo karibuni kumsajili nyota huyo wa timu ya taifa ya Argentina mara baada ya mshindi huyo mara sita wa tuzo ya Ballon d’Or kuweka wazi kuwa hataki kuendelea kusalia Nou Camp.

Vigogo hao wa jiji la Manchester wanaamini kuwa ujio wa Messi pale Etihad Stadium utamaanisha kuwa wanatakiwa kuendelea kuwa na Guardiola kwa misimu mingine zaidi.

Mshambuliaji, Lionel Messi

Kwa upande mwingine mabosi wa klabu ya Barcelona wameshamuarifu kocha Ronald Koeman ajiandae kuanza maisha ya kuifundisha timu hiyo bila uwepo wa Messi, pia wanaona ni bora kupata wachezaji kadhaa kutoka City wenye thamani ya karibia  £250m pamoja na kitita cha fedha kuliko kuwauzia mchezaji huyo kwa £630m kama ilivyoainishwa katika mkataba wa mchezaji huyo.

Timu zingine zilizo katika hatua za kumsajili mshambuliaji huyo ni pamoja na Paris St Germain,Inter Milan pamoja na Juventus lakini yeye anapendelea kujumuika kwa mara nyingine na Guardiola ambaye alimfundisha akiwa Barcelona.


Beti Mbio za Mbwa Mubashara

Hii ni rahisi zaidi! Hapa USHINDI unaupata kwa kuchagua mbwa anayeshinda mbio na machaguo mengine yenye odds tamu.

Cheza Hapa

60 Komentara

    City hawana chaguo mwingine lazima wamuongezee mkataba Gurdiola

    Jibu

    Manchester city wamefanya vizuri kumuongeza mkataba gurdiola

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Asante kwa taarifa#meridianbettz

    Jibu

    Vizur kafany poa tang atue Etihad

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Hii ni habari njema sana

    Jibu

    Wamefanya vizuri Sana klabu ya Manchester city kumpa tena mkataba gardiola

    Jibu

    Man city watakua wamefanya jambo zuri.

    Jibu

    Hongera Guardiola…

    Jibu

    Habari njema kwa mashabiki wa man city

    Jibu

    Vizuriii wameelewa kazi zake!!!

    Jibu

    Pep Guardiola ni kocha mshindi, anasitahili kuwepo Man City kwa muda mrefu zaidi#meridianbettz

    Jibu

    vizuri sana coz ndo kocha bora wa sasa

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Hongera Guardiola

    Jibu

    City wamefanya jambo nzuri na guardial

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Vizuri Guardiola

    Jibu

    safi Guardiola

    Jibu

    Uongozi wa City bado wanaimani na Pep hivyo tunatarajia msimu ujao Pep atafanya makubwa zaidi

    Jibu

    Pep ni kocha mzur sanaa anafaa kuendelea kuwepo

    Jibu

    Bora walivyo muongeza mkataba pia Ni kocha mzuri Sana

    Jibu

    Wamejiongeza

    Jibu

    Man City watakua wamefanya Jambo zuri#Meridianbettz

    Jibu

    Pep ni kocha mzuri mno Huyo

    Jibu

    Nilijua tu man City hawana chaguo lingine zaidi ya guardiola ni lazima wamuongezee mkataba tu

    Jibu

    Kwaiyo wamemuengeza mkataba gurdiola hili kiwe kivutio cha Messi..!ningewashauli waangalie upande mwengine Messi sasa hivi kashakua maji ya jioni wachezaji wapo wengi tu chipukizi wenye uwezo mkubwa wakiandaliwa wanaeweza tu

    Jibu

    Man city hawana chaguo jingine ni Guardiola tu kwa sasa

    Jibu

    vzr

    Jibu

    Pep anastahili kuendelea pale city

    Jibu

    Yupo vzr

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Anafanya kaz nzur sana

    Jibu

    City safi kumuongezea muda pep

    Jibu

    Vizuri.

    Jibu

    Guadiola ni kocha mzuri sana ni matarajio yangu Msimu ujao atakua bora zaidi pale man city

    Jibu

    Manchester city wamefanya Jambo zuri kumwongeza mkataba@meridianbettz

    Jibu

    Good

    Jibu

    Guardiola ni muda sasa wako wa kuipambania saini ya lion messi

    Jibu

    Guadiola kocha mzuri

    Jibu

    Wamefanya Jambo zuri sana

    Jibu

    Nikocha mzuri sana

    Jibu

    Guardiola anajua bwana#Meridianbettz

    Jibu

    Guardiola fundi

    Jibu

    civty bora wamuongezee mkataba maana bado ana mchango mkubwa sana katika timu

    Jibu

    Ni jambo zuri

    Jibu

    City wanampa tag san pep na inabidi ahakikishe city inaondoka na taji msimu ujao

    Jibu

    City wanampq muda pep kwa sabab wana amini ndio kocha atakae wapa uefa msimu ujao ila akikosa tena basi tunaweza kujakuona sura mpya city

    Jibu

    Bora walivomuongezea mkataba pia ni kocha anafaa

    Jibu

    yuko vzr

    Jibu

    vizuri Sana klabu ya Manchester city kumpa tena mkataba gardiola

    Jibu

    Pongezi kwa uwongozi wa man city pep ni mwalimu mzuri na mzoefu wa mashindano mbali mbali.

    Jibu

    Kwa upande mwingine mabosi wa klabu ya Barcelona wameshamuarifu kocha Ronald Koeman ajiandae kuanza maisha ya kuifundisha timu hiyo bila uwepo wa Messi, pia wanaona ni bora kupata wachezaji kadhaa kutoka City wenye thamani ya karibia £250m pamoja na kitita cha fedha kuliko kuwauzia mchezaji huyo kwa £630m kama ilivyoainishwa katika mkataba wa mchezaji huyo.

    Jibu

    Ni kocha mzuri

    Jibu

    Uongozi wa City bado wanaimani na Pep hivyo tunatarajia msimu ujao Pep atafanya makubwa zaidi

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.