Wachezaji wa QPR wamejitokeza kumuunga mkono mchezaji mwenzao Bright Osayi-Samuel ambaye alifanyiwa unyanyasaji mtandaoni baada ya mchezo wa Jumanne dhidi ya Norwich.
Nahodha wa klabu Geoff Cameron alitoa taarifa fupi katika tovuti rasmi ya kilabu akiunga mkono Osayi-Samuel, ambaye aliangazia unyanyasaji “wa kuchukiza na uchungu”, ambao baadhi yake ulikuwa wa kibaguzi.

Cameron alisema: “Kwa pamoja tunasimama na mwenzetu, Bright Osayi-Samuel.
Nahodha wa QPR Geoff Cameron ametoa taarifa kwa niaba ya kikosi kumuunga mkono Bright.
“Kupitia imani na matendo yetu kama klabu, timu na watu binafsi, hatuwezi kabisa kuvumilia ubaguzi wa rangi kwa njia yoyote. Kamili kabisa.
“Kilichotokea ni cha kuchukiza na ni matumaini yetu kwamba mtu huyu atawajibika. Sisi kama klabu tumekuwa mstari wa mbele kupigana dhidi ya ubaguzi wa rangi na kuunga mkono usawa kwa wote. Hii itaendelea kuwa msimamo wetu.”
Mchezaji huyo wa miaka 22 alifunga penati dakika za majeruhi kisha akakosa nafasi nyingine katika sare ya 1-1 katika dimba la Carrow Road.
VUNA SHEA YAKO YA 230,000,000TSH NA UFURAHIE MSIMU HUU WA SIKUKUU!!!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, jiwekee nafasi ya kupata shea yako ya 230,000,000Tsh kupitia mchezo wa Secret Santa. Hakika hutojutia kufurahia msimu huu wa sikukuu ukiwa katika nyumba ya mabingwa ya Meridiabet. Unasubiri nini?



Angelina
Umoja ni nguvu
Dorophina
Safi hiko ndicho kinachotakiwa katika timu
Lydia Emmanuel Magoti
Safiii sana
Issa
Ubaguz unatakiwa ukomeshwe
Gabriel
Kunatakiwa kuwe na msimamo ili heshima irud
Rehema
Safi
warda
Sio kitu poa
Rahmal
Safi sana
Adelta
Wanaonyesha mfano mzuri kwa wachezaji wengine
Magdalena
Duh ni balaa
Sarah
Kitu kizuri kuwa naushirikiano
Tatu
Safi
Saupha mohamed
Dhuuu ataliii
Hopemwaikuka
Mazito