Manula Akubali Yaishe

KIPA wa Simba, Aishi Manula amefunguka kuwa kwa msimu huu mambo yamekuwa magumu lakini amefurahi tuzo hiyo kuchukuliwa na kipa wa timu nyingine.

Aishi amesema hayo kwenye usiku wa tuzo za Shirikisho la Soka nchini ‘NBC TFF AWARDS 2022, ‘ zinazofanyika leo alhamis kwenye hoteli ya Johari Rotana, Dar.
Manula
“Msimu huu haukuwa mzuri kwangu lakini mimi huwa nafurahi kama kipa mwingine anachukua tuzo kwani hiyo inanifanya najifunza mambo mengi.
“Kwa msimu huu nipo nafasi ya tatu kwenye idadi ya makipa wenye Cleen sheet ila waliopo juu yangu wamekuwa bora sana na wameisaidia timu yao.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.