Cavani Shujaa wa Manchester United.

Edinson Cavani ameonesha kiwango kikubwa kwa kuokoa jahazi la Manchester United kutoka nyuma kwa goli mbili mpaka kushinda kwa 3-2.

Goli la kichwa la Jan Bednarek na goli la free-kick la Ward-Prowse yaliiweka mbele Southampaton kipindi cha kwanza katika dimba la St Mary’s Stadium.

Lakini ujio wa Edinson Cavani katika kipindi cha pili ulidhihirisha Ole Gunnar Solskjaer alikuwa na akiba ya silaha muhimu katika dakika ya 59 ya mchezo alio mpasia pasi safi Bruno Fernandes ambaye alifunga goli la kwanza kwa Man United.

Kisha akakutana na shuti ambalo lilimbabatiza mchezaji wa Soton na kufunga kwa kichwa goli lililofanya ubao wa matokeo kusoma 2-2, katika muda wa nyongeza akaweka kambani goli la tatu dakika ya 92 na kuifanya Man United kupata ushindi wa nane mfululizo ugenini katika Premier League.

Manchester United amesogea mpaka nafasi ya nane katika msimamo wa Premier League akiwa amekamata alama 16 sawa na Everton lakini United anamchezo mkononi.


USICHELEWE KUKAMATA MKWANJA HUU!

Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.

Meridianbet Tanzania Casino

SOMA ZAIDI

11 Komentara

    Cavan ni mtu makini kwa manchester united

    Jibu

    Yupo vizuri

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Saf

    Jibu

    Cavani ni shujaa wa man u lazima ataisaidia klabu yake

    Jibu

    Ole hakukosea hapa

    Jibu

    Katisha sanaa mwamba

    Jibu

    Kijana mzuri ila mapepe sana

    Jibu

    Kijana Yupo vizuri

    Jibu

    Mpambanaji wa kwer

    Jibu

    Kwa kweli Cavani ni shujaa

    Jibu

Acha ujumbe