Edinson Cavani ameonesha kiwango kikubwa kwa kuokoa jahazi la Manchester United kutoka nyuma kwa goli mbili mpaka kushinda kwa 3-2.
Goli la kichwa la Jan Bednarek na goli la free-kick la Ward-Prowse yaliiweka mbele Southampaton kipindi cha kwanza katika dimba la St Mary’s Stadium.
Lakini ujio wa Edinson Cavani katika kipindi cha pili ulidhihirisha Ole Gunnar Solskjaer alikuwa na akiba ya silaha muhimu katika dakika ya 59 ya mchezo alio mpasia pasi safi Bruno Fernandes ambaye alifunga goli la kwanza kwa Man United.
Kisha akakutana na shuti ambalo lilimbabatiza mchezaji wa Soton na kufunga kwa kichwa goli lililofanya ubao wa matokeo kusoma 2-2, katika muda wa nyongeza akaweka kambani goli la tatu dakika ya 92 na kuifanya Man United kupata ushindi wa nane mfululizo ugenini katika Premier League.
Manchester United amesogea mpaka nafasi ya nane katika msimamo wa Premier League akiwa amekamata alama 16 sawa na Everton lakini United anamchezo mkononi.
Hadi 130,000,000 TSH Kutolewa kwa washiriki wa shindano la Playson Cashfall. Unaipata kwenye Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet Pekee. Jisajili sasa, kisha ingia mchezoni kabla ya Novemba 29.
Adelta
Cavan ni mtu makini kwa manchester united
Lydia Emmanuel Magoti
Yupo vizuri
Fatuma kasomo
Safi
Rahma
Saf
Dorophina
Cavani ni shujaa wa man u lazima ataisaidia klabu yake
Issa
Ole hakukosea hapa
Hopemwaikuka
Katisha sanaa mwamba
Magdalena
Kijana mzuri ila mapepe sana
Tatu
Kijana Yupo vizuri
Tahiya
Mpambanaji wa kwer
warda
Kwa kweli Cavani ni shujaa