Ihefu FC Kujichimbia Mbeya

Kocha wa Ihefu FC Zuberi Katwila ameweka wazi kuwa kambi yao itakuwa Mbeya, kwa ajili ya kufanya maandalizi ya msimu mpya wa 2022/23.

Ihefu imepanda ligi baada ya kupambana kwa msimu mmoja iliposhuka na kucheza Championship hivyo inarejea kwa mara nyingine tena.

Akizungumzia kambi hiyo, Katwila amesema kuwa, wanatarajia kukamilisha usajili hivi karibuni na kambi itakuwa Mbeya.

“Kambi yetu itaanzania hapa hapa Mbeya kwa muda wa wiki moja ambapo wachezaji tayari wameanza kuingia kambini kwa ajili ya maandalizi.

“Usajili bado unaendelea ila tayari tumekamilisha hasa ukizingatia kwamba mapendekezo yetu na ripoti yetu inafanyiwa kazi na viongozi.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.