Nyota Mbao atimkia Hispania

NYOTA wa Mbao, Nasri Daudi tayari ametua nchini Hispania kwa ajili ya kufanya majaribio huku akieleza kuwa mipango yake ni kubakia huko.

Nasri anakumbukwa zaidi baada ya kufunga bao pekee kwenye mchezo wa michuano ya Shirikisho la Azam dhidi ya DTB (Singida Big Stars) na kuipeleka timu yake kwenye hatua iliyofuata.

 

Nyota Mbao atimkia Hispania
Kiksi cha Mbao FC ya Mwanza

Akizungumza baada ya kuwasili nchini humo, Nasri amesema kuwa “Namshukuru Mungu nimefika salama hapa Hispania ninachosubiri kwa sasa ni utaratibu.

 

Nyota Mbao atimkia Hispania

“Ninawaomba watanzania waweze kuniombea nifanye vizuri kwenye majaribio yangu kwani mipango yangu ni kuhakikisha nafanya vizuri ili niendelee kubaki huku na kucheza soka.”

 

Nyota Mbao atimkia Hispania

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.