Saul Niguez ameomba radhi kwa mashabiki wa timu ya Atletico Madrid baada ya kutolewa kwenye michuano ya Champions League na timu ya RB Leipzig kwenye hatua ya robo fainali kwa kukubali kipigo cha 2-1 siku ya Alhamisi.
Leipzig ndiyo walianza kufunga goli dakika ya 50 kipindi cha pili cha mchezo goli lililofungwa na Daniel Olmo kabla ya Joao Felix hajasawazisha kwa mkwaju wa penati baada ya kuchezewa madhambi katika eneo la penati, dakika ya 88 Tyler Adams akaipa RB Leipzig goli la pili na la ushindi na kuwapa tiketi ya kucheza nusu fainali.
Saul Niguez
Kiungo wa Atletico Saul ametambua kuwa makosa waliyofanya na kuruhusu kupoteza mchezo huo muhimu wa robo fainali uliyopigwa nchini Ureno siku ya Alhamisi.
“Wapinzani wetu walikuwa imara katika kila idara kwenye mchezo,” alisema Mchezaji huyo wa kimataifa kutoka Hispania.
“Tulikuwa na msisimko, mashabiki wanastahili zaidi, tulikuwa na tumaini la kusonga mbele pia tunaomba radhi sana.”
Wakati huo huo nahodha wa timu hiyo Koke alisema wamepoteza kwakuwa wapinzani walikuwa vizuri zaidi pia mfumo mpya wa mashindano hayo kwa kucheza mzunguko mmoja pekee.
“Tumesisimshwa na mashindano ya awamu hii sasa ni muda wa kuamka na kuangalia tulipokosea,” alisema ukiwa dimbani kuna muda unakuwa mzuri na kuna muda unacheza vibaya. Tunapaswa kuangalia wapi tuliposhindwa.
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Adelta
Walipoteza mlekeo kwa sababu wapinzani walikuwa imara uwanjani
@meridianbettz
Antony Luseno
Ndo mpira ulivyo wakubali tu matokeo
rama
Maoni:ndo moja ya matokeo ya mpira amefanya vizuri kuomba radhi mashabiki
Sauda
Amefanya jambo la maana sana..
Lydia Emmanuel Magoti
Ndompila ulivyo wakubaliane nahali halisi
Lydia Emmanuel Magoti
Ndompila ulivyo wakubaliane nahali halisi
Mwajumah
Ndio mpira ulivyo wakubali tu matokeo#Meridianbettz
Zeiyana
Ndio hivyo tena walipambana sana atletico Madrid ila bahati haikua kwao
Ester jackson
Hayo ndio matokeo na kuomba radhi kwa mashabiki ni uugwana ambao ni mzuri na tunakubaliana na matokeo
Nasra
Kwa upande washabiki haiko sawa
JULIANA
Amefanya sahihi kuomba radhi
Janeflora malisa
Wakubal matokeo t
Dorophina
Hayo ndio matokeo ya mpira wakubaliane na matokeo tu ila Saul amefanya jambo la kiungwana
Angelina
Ni jambo zuri kukubali matokeo
Mwanahamisi
Amefanya Jambo la maana sana
magdalena
kuomba radhi ni jambo la busara sana ila matokeo katika mpira ni muhimu kuyakabili tu
Sadick
RB Leipzig iliingia kama underdog na ilijua ubora wa Atletico kwa kuitoa Liverpool bingwa mtetezi. RB Leipzig imeanzishwa miaka 10 tu iliyopita na imeweza kufikia mafanikio makubwa#meridianbettz
Tatu
Amefanya kitu cha msngi na chamaana kuomba ladhi mashabiki kwani amejua kosa lake
felister
akubali tu matokeo ndiyo mpira ulivyo
Warda
Bora kafanya hivyo kuomba radhi ni busara zaid
Lydia Emmanuel Magoti
Ndompila ulivyo wakubaliane nahali halisi
Fatina mfingi
Ni Jambo zuri
Samiah
Jambo zuri
Rose kapinga
Ni Moja ya matokeo ya mpira, kikubwa kukaza buti!!!
Saupha mohamed
Kafanya jambo jema sana
Khadija
Amefanya sahihi kuomna radhi#meridianbettz
farida ahmadi
Maamuzi mazuri Sana Yuko sahihi
Salma ngende
Ni jambo zuri
Rehema
Jombo zuri
Gabriel
Siku zote mdharau mwiba mguu uota tende ndo matokeo yake ila mpira ulikuwa mkal sana na wenye ushindan kwa RB Leipzig walijipanga sana 👍
Venerose
Yupo sahihi kuomba radhi
Leonard
Kukubali matokeo ni ugwana
Furahav
Daah ila inauma sana.
Issa
Atletico waliteleza hii mechi walipotea sana
Hope mwaikuka
Ni vzur
Devotha
Daah!! Atletico Madrid nyie mmezingua sana
Njiku
Jamaa ananidham kwa mashabiki poa sana saul
Sabrina
Nijambo la busara kuomba radhi inaonyesha kukubali kosa na kutaka haki na usawa
Fatuma kasomo
Safi kukubali matokeo
Johnmary joel
Amefanya jambo zuri kujishusha#meridianbett
David Pere
Siku zote mdharau mwiba mguu uota tende ndo matokeo yake ila mpira ulikuwa mkal sana na wenye ushindan kwa RB Leipzig walijipanga sana na watafika fainali
Omary lukumbi
Ukweli siku zote uko pale pale mpira una matokea matatu lazima ukubali tuu
aisha
Saul ni kijana uliefunzwa maadili mema sana maana neno samahani linamaana kibwa sana na pia ponngezi kwa kujali hisia za mashaniki wako
Caroline
Sawa tumekusamehe mashabiki zako
Shafii
Ni jambo zuri unapokosea inapaswa utambue hilo na kuwataka radhi ulio wakosea.
Neema
Katumia hekma sana kwa kuomba radhi.
Povel
Amefany Jambo la maana kwn mwenye kukosa hanabudi kuomba RADhi