Man U: Zinedine Zidane Anambadili Mourinho?
Kulikuwa na tetesi za chini chini kuwa huenda Zinedine Zidane akawa anaongoza katika orodha ambayo makamu mwenyekiti bwana Ed Woodward anaifikiria kumbadili Mourinho. ripoti hizi zinahusisha kufanya vibaya katika mechi …