Sven Atoa Sababu ya Kagere Kukaa Benchi
Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji Sven Vandenbroeck amefunguka kwamba straika wake, Meddie Kagere anakaa benchi kutokana na yeye kupanga na kuchagua timu kutokana na aina ya timu ambayo anaenda kukutana …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
Kocha Mkuu wa Simba, Mbelgiji Sven Vandenbroeck amefunguka kwamba straika wake, Meddie Kagere anakaa benchi kutokana na yeye kupanga na kuchagua timu kutokana na aina ya timu ambayo anaenda kukutana …
Tetesi za usajili katika kuelekea msimu ujao, zinasema kuwa upo uwezekano mkubwa wa kipa namba mbili wa Simba, Beno Kakolanya kujiunga na Azam FC katika msimu ujao. Kipa huyo tangu …
Afisa habari wa Simba SC, Haji Manara amewaahidi Antonio Nugaz na Hassan Bumbuli Tsh1 million kila mmoja ikiwa Mabingwa hao watashindwa kuifunga kwenye mechi ya Jumapili. Timu hizo mbili zitakutana …
Homa na hofu ya pambano la watani limepamba moto, ni baada ya Kocha Mkuu wa Simba Mbelgiji, Sven Vandenbroeck kuzuia shangwe za ubingwa wa Ligi Kuu Bara baada ya kuwazuia …
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya NBC klabu ya Yanga wamerejea kwenye msimamo wa ligi hiyo baada ya kupata matokeo ya ushindi dhidi klabu ya Namungo mchezo ulipigwa mkoani Lindi. …
Yanga SC iko zake kileleni mwa msimamo wa ligi baada ya kukusanya alama 40 katika mechi 15 ilizocheza ikiwa katika harakati za kutetea taji la Ligi Kuu Bara, huku beki …
Ligi kuu ya Tanzania kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo Yanga watawakaribisha JKT Tanzania kwaajili ya mchezo wao wa pili wa Ligi katika dimba la Chamazi. Mchezo huo …
Klabu ya KMC imeshindwa kufurukuta hapo jana baada ya kuchezea kichapo cha mabao 5-0 dhidi ya Yanga katika dimba la Chamazi majira ya saa 1:00 jioni. KMC alikuwa ugenini …
Kauli yenye kuudhi haswa, Yanga kuinunua Simba kutokana na utamaduni wa mpira wetu wa Tanzania ambao umegawanyika kwenye makundi makuu mawili, Simba na Yanga na tayari Haji Manara ameshaitoa kauli …
Kiungo Punda, ndiyo jina ambalo linapendwa na watu wengi sana kumtambulisha au kumuita kiungo wa Simba Mzamiru Yassin kutokana na kazi kubwa ambayo anafanya akiwa uwanjani. Mzamiru amefunguka kwa mara …
MASTAA wa Simba wamewafunika watani zao wa jadi Yanga kwenye idadi ya hat trick ambazo wamefunga ndani ya za Ligi Kuu Bara 2022/23. Tembelea duka la ubashiri-Meridianbet kutandika jamvi lako …
ROBERTO Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anaamini timu hiyo itakuwa kwenye mwendo mzuri msimu ujao ikiwa itapata wachezaji wenye ubora kila idara. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa …
ROBERT Oliveira, Kocha Mkuu wa Simba amesema kuwa anahitaji maboresho zaidi kwenye kikosi hicho ili kuongeza ushindani ndani ya timu hiyo. Pata odds kubwa kutoka Meridianbet kwa mechi za ligi …
Tanzania Prisons imeendelea kujiweka vizuri kwenye msimamo wa ligi baada ya kushinda mechi yake ya nne mfululizo kwenye ligi kwa kuitandika Kagera Sugar Kaitaba kwa bao 1-0. Bao …
KOCHA Mkuu wa Al Hilal ya Sudan Florent Ibenge amesema kuwa maandalizi ya mchezo wa kesho yapo tayari na wachezaji wake wamepanga kuonyesha ubora wao mbele ya Simba. Odds kubwa …
Klabu ya Simba inatarajia kuwakaribisha klabu ya Al Hilal nchini kesho ambao wanatarajia kuja kuweka kambi kwaajili ya kujiandaa na michuano ya Ligi ya Mabingwa na Wekundu hao ndio watakuwa …
Klabu ya Geita Gold inatarajia kumkaribisha Dodoma Jiji nyumbani kwake kusaka pointi tatu ambazo amezikosa kwa muda mrefu majira ya saa 10:00 jioni katika uwanja wa Nyankumbu. Geita Gold …
Hatimaye Bingwa wa Mapinduzi Cup amepatikana hapo jana na si mwingine bali ni Mlandege FC ambaye amechukua Kombe hilo baada ya kumcharaza Singida Big Stars kwa mabao 2-1. Mlandege …
Hatimaye leo hii Fainali ya Mapinduzi Cup inaenda kupigwa kumtafuta Bingwa mpya msimu huu ambapo ni kati ya Singida Big Stars dhidi ya Mlandege kutoka Zanzibar majira ya saa 2:15 …
Klabu ya Mbeya City baada ya kutoka kutoa sare mchezo uliopita, kesho anamkaribisha Tanzania Prisons katika mchezo wao wa 18 wa ligi kuu ya NBC Tanzania Bara majira ya saa …