Yanga Yajipanga Kumuua Namungo Leo, Huku Simba Wakiombea Sare Tu
TIMU ya Wananchi ya Yanga SC ikiwa kileleni mwa Ligi leo itashuka kwenye dimba la Mkapa majira ya saa 1:00 za Usiku kucheza mchezo wa hatua ya 22 dhidi ya …
Ikiwa hujaridhika na matokeo, tafuta tena
TIMU ya Wananchi ya Yanga SC ikiwa kileleni mwa Ligi leo itashuka kwenye dimba la Mkapa majira ya saa 1:00 za Usiku kucheza mchezo wa hatua ya 22 dhidi ya …
Azam FC inatarajia kumualika AL Hilal ya Ibenge kwenye mchezo wao wa kirafiki Chamazi Complex huku mechi ya kwanza timu hiyo kutoka Sudan ikitoa sare ya kufungana 1-1 dhidi ya …
Klabu ya Al Hilal kutoka Sudan ambayo kwasasa ipo nchini Tanzania inatarajia kucheza mchezo wake wa kirafiki hii leo dhidi ya Namungo FC kutoka Ruangwa mkoani Lindi. Al Hilal …
Ligi kuu ya NBC kuendelea hii leo kwa michezo miwili, mchezo mojawapo ni kati ya KMC dhidi ya Namungo ya Mkoani Lindi. KMC wametoka kupata sare mechi yao iliyopita, …
Nusu fainali ya pili ya Mapinduzi Cup ilipigwa jana ambapo ilishuhudiwa kuwa na ugumu wa kiasi chake baada ya Namungo kushindwa kufurukuta dhidi ya Mlandege na kusababisha timu hizo kutoka …
Nusu Fainali ya Mapinduzi Cup ya pili kupiigwa hii leo majira ya saa 2:15 usiku ambapo itawakutanisha kati ya Namungo dhidi ya Mlandege baada ya jana kushuhudia nusu fainali …
Nusu Fainali ya Mapinduzi Cup imepigwa jana kwa mchezo mmoja ambao uliwakutanisha kati ya Azam FC dhidi ya Singida Big Stars na kushuhudia vijana wa Kally Ongala wakinyonyolewa na Francy …
Aliyekuwa nyota wa Azam FC anayekipiga kwenye nafasi ya Kiungo, Frank Domayo amejiunga na kikosi cha Namungo FC. Nyota huyo amesajiliwa na Namungo akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba …
Klabu ya Namungo siku kadhaaa zilizopita walitangaza Kumuaga rasmi kiungo Mshambuliaji Mohammed Issa Banka lakini Leo wametangaza usajili mpya wa Mkongwe Frank Domayo Chumvi. Namungo wameongeza kiungo mwingine Mwenye …
Mechi nyingine ya Ligi kuu Tanzania Bara itapigwa majira ya saa 10:00 jioni itakayowakutanisha Ruvu Shooting Dhidi ya Namungo katika uwanja wa Uhuru huku kila mmoja akihitaji alama 3. …
Klabu ya soka ya Yanga imefanikiwa kupata alama tatu dhidi ya klabu ya Namungo Fc ya mkoani Lindi katika mchezo wa ligi ya NBC uliopigwa katika dimba la Majaaliwa mkoani …
Klabu ya Namungo FC ya mkoani Lindi imezidi kuididimiza klabu ya Dodoma Jiji kunako chini ya msimamo wa ligi baada ya kuitandika kwa bao 1-0 katik uwanja wa Liti huko …
Ligi kuu ya Tanzania Bara kuendelea kesho ambapo Dodoma Jiji wanatarajia kumualika Namungo nyumbani kwao huku wote wakitoka kupoteza mechi zao za mwisho za ligi majira ya saa 8 mchana. …
Klabu ya Azam FC yaendeleza wimbi la ushindi hapo jana walipokuwa wageni wa Namungo ya Lindi baada ya kuitwanga kwa bao 1-0 katika mchezo wa Ligi kuu ya NBC Tanzania …
Klabu ya Azam FC yaifuata Namungo Lindi ambapo wanatarajia kucheza mchezo wao wa ligi kuu ya NBC hapo kesho majira ya saa 1:00 usiku katika Uwanja wa Majaliwa. Azam …
Baada ya ushindi mwembamba uliopita dhidi ya Ihefu, Simba inatarajia kumualika Namungo Fc katika mchezo wake wa 11 kwenye Ligi ambapo mchezo huo utapigwa katika Dimba la Benjamin Mkapa majira …
Ligi kuu ya NBC Tanzania Bara inatarajiwa kuendelea hii leo kwa mchezo mmoja ambapo hii leo, Mbeya City atamkaribisha Namungo FC nyumbani kawake katika Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya. …
Klabu ya Namungo hii leo inamkaribisha Kagera Sugar katika mchezo wao wa Ligi kuu ya Tanzania Bara katika uwanja wao wa Majaliwa majira ya saa 1:00 usiku. Namungo ametoka …
Ligi kuu ya NBC kuendelea kutimua vumbi hii leo, baada ya michezo miwili kupigwa hapo jana. Namungo waliotoka kupoteza mchezo wao wa mwisho watakuwa dimbani kutafuta pointi 3 muhimu dhidi …
Kikosi cha Timu ya KMC FC kimerejea Jijini Dar es Salaam jana na leo kimeanza mazoezi kwa ajili ya mchezo unaofuata dhidi ya Ruvu Shooting utakaopigwa siku ya Ijuma OKtoba …