Hizi Hapa Sababu za Zoran Kutimuliwa Simba

UONGOZI wa Simba jana mchana ulitangaza kuvunja mkataba na kocha wake Mserbia Zoran Manoljović (60) baada ya kudumu kwa miezi miwili huku sababu tatu zikitajwa kumuondoa.

Huyo ni kocha wa pili wa kigeni kutimuliwa tangu kuanza kwa msimu huu, mwingine ni kaimu Kaimu Kocha Mkuu wa Azam FC, Abdihamid Moallin raia wa Somalia na Marekani.

Simba ilimuajiri na kumtangaza kwa mbwembwe Zoran Juni 28, mwaka huu akichukua nafasi ya Mfaransa, Franco Pablo.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwa mmoja wa mabosi wa timu hiyo, sababu tatu za msingi ambazo zimemuondoa kocha huyo kuendelea kukinoa kikosi hicho huku mshambuliaji wa timu hiyo, Mserbia Dejan Geogjivic akipewa muda wa kuangaliwa.

Bosi huyo alizitaja sababu hizo ya kwanza ni Kuishiwa mbinu kwa kocha kwa siku zote alizokaa na timu hiyo akiifundisha ameonekana kuishiwa mbinu za kuipa matokeo mazuri ya ushindi katika michezo.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.