Daniel Dubois Kuvaana na Joe Joyce Oktoba

Daniel Dubois atakuwa anavaana na Joe Joyce. Hawa wote hawajawahi kupoteza pambano katika ndondi za kulipwa.

Mabondia wa ngumi za uzani wa juu Heavyweights Daniel Dubois na Joe Joyce watapambana Oktoba pale London O2 Arena.

Awali pambano la kuwakutanisha mabondia hawa lilikuwa lifanyike Julai 11 lakini mabadiliko hayajakwepeka kama kwenye michezo mingine. Pambano hili sasa litafanyika Oktoba 24.

Kwa mujibu wa Promota Frank Warren, anaamini pambano hili litakuwa la kihistoria. Na mshindi atapata nafasi katika ubingwa wa Dunia.

Daniel Dubois Kuvaana na Joe Joyce Oktoba
Daniel Dubois vs Joe Joyce

Joyce, ambaye ana miaka 34 hajawahi kupigika katika mapambano yake 10 ya ngumi za kulipwa. Anasema hii ni taarifa njema kwake kwa sababu atapata nafasi ya kumtupia ‘mijigumi’ Dubois.

Wakati kwa upande wa Dubois, bingwa wa Uingereza ameshinda mapambano yake yote 14 ya ngumi za kulipwa.

Sehemu za mazoezi kwa wanamichezo (Gyms) kwa sasa ziko wazi baada ya mda mrefu wa kuwa karantini. Mabingwa hawa wote sasa wanatarajia kuhudhuria zaidi mazoezini kwa ajili ya kujiandaa na pambano huku kila mmoja akitamba kuwa atamuonesha kazi mwenzake.

Mwandishi kama mwandishi, nawakumbusha hawa wanaotafuta ugali kwa kudundana usoni, kuwa wakati soka tunasema mpira dakika 90,  huku ushindi unaweza kupatikana kwa kunyata tu, yaani KO🥊! Ukipigwa “Knock Out” na kushindwa kuamka pambano limeisha!

56 Komentara

    Siku iyo patachimbika

    Jibu

    Haya ndiyo mapambano ya kuangalia sasa mana wote watakuwa wanataka kuendelea kupambana bila kupigwa sasa nani atakae taka kupigwa ? Hilo ndilo nataka kujua October ##asante sana meridianbettz

    Jibu

    Mm hapo kwa joe joyce nampa 80% kushinda pambano japo mchezo utakua mgumu sabab kila mmoja ajawah kupoteza pambano.lake

    Jibu

    daah litakuwa bonge la pamano sio la lulikosa#meridianbettz

    Jibu

    Mechi kal sana 👍

    Jibu

    Maoni:sipati picha siku hiyo ya,pambano

    Jibu

    aya asante kwa taarifa nzuri huku na mimi nikisubili kuona nani atachapwa maana joyce anasema yeye katika mapambano karibuni kumi hajawai pigwa, je…! bado joyce ataendeleza historia yake

    Jibu

    Thnks kwa update

    Jibu

    Mechi Kali sn

    Jibu

    Joyce kwa rekodi yake yupo poa sana ameshinda mapambano 10 si mchezo tena ya kulipwa ila bado anakipengele kizoto sana kukabiliana na mpinzani wake ambaye yeye ni bingwa wa uingereza na ameshinda mapambono 14 ya kulipwa anaonekana yupo poa sana DUBOIS hivyo bhasi licha kushinda mapambone mengi bado anachangamoto juu ya mchezo wake na joyce mechi kali hik ntaingalia maana wote wapo vizuri,litakufa jitu hapa hahahahaha

    Jibu

    Litakua pambano Kali mno

    Jibu

    Thanks meridian for new infomtion

    Jibu

    Mechi kali sana

    Jibu

    Habari njema acha tusubiri kuona nani mkali

    Jibu

    Habari njema njema Sana hizi 👏

    Jibu

    Itakuwa hatareeee

    Jibu

    Itakuwaje sasa wote hawajapoteza pambano#Meridianbettz

    Jibu

    Mechi kabambe

    Jibu

    Mpambano utakuwa wa kibabe na hivi wote wapo fiti najua hakutakuwa na mmoja wapo atakaye kubali kupoteza pambano hilo

    Jibu

    Mtanange mkali sana huu ngoja tusubiri matokeo

    Jibu

    Pambano litakua si lamchezo ukiangalia wote hawajawai kupoteza hata pambano moja sijui itakuaje

    Jibu

    Siku hiyo patakuwa hapatoshi

    Jibu

    Aisee mi nasubiria iyo siku maana itakua ni burudani

    Jibu

    Ilopambano silakukosa patachimbika ngumi jiwe

    Jibu

    nalisubiria kwa hamu kubwa

    Jibu

    Nasubiri kuona mshindi nani hapo.maana wote wako vizuri

    Jibu

    Mpambano huo si wa kukosa iyo oktoba .

    Jibu

    Ndondi mchezo wa kuvutia sana na umekuwa kivutio kikubwa#meridianbettz

    Jibu

    Hili pambano lazima litakuwa na KO, Ngumi jiwe mtu chali.

    Jibu

    Ntasubiria mshindi nani siyakukosa

    Jibu

    Mechi Kali Sana

    Jibu

    Mechi mzur sana

    Jibu

    Tunasubir tuone mana nimemiss kuona ngumi za heavyweights

    Jibu

    Ukiachana na lile la fury na Joshua hili pambana nalo linasubiliwa Sana kwa mchecheto mabondia ote wako fit

    Jibu

    Asante kwataharifa,maana pambano litakuwa moto

    Jibu

    Joe mtu mbaya

    Jibu

    namkubali sana Daniel dubois

    Jibu

    Pambano hili litakua gumu si rahisi kutabiri nan mshindi

    Jibu

    Dubois hatomwachi salama mpinzani wake

    Jibu

    Ngumi jiwe ..Hilo pambano bingwa atapatika round zote kuisha..Ila me nitakuwa upande wa dubois#meridianbettz

    Jibu

    Acha kipigwe tuone mbabe nan

    Jibu

    Ni bonge la pambano ila joe ataondoka na point muhimu

    Jibu

    Noma sanaaa

    Jibu

    Duh itakua balaa

    Jibu

    Mana sijawai kubashiri ngumi ila pambano ili nitabeti.

    Jibu

    Tunalisubiri kwa hamu

    Jibu

    Iyo siku itakua nomaaa sana

    Jibu

    Pambano la kukata na shoka

    Jibu

    Wapigane tu watu tupate burudani

    Jibu

    Duuh ckuhiyo patachimbika

    Jibu

    mimi nikisubili kuona nani atachapwa maana joyce anasema yeye katika mapambano karibuni kumi hajawai pigwa, je…! bado joyce ataendeleza historia yake

    Jibu

    Litakua pambano la kukata na shoka

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Mechi ya kibabe

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.