KIUNGO mzawa ndani ya kikosi cha Yanga, Feisal Salum wengi wanapenda kumuita Fei Toto ameingia Kwenye anga za Klabu ya TP Mazembe ya Congo.
Mbali na Toto pia beki mzawa wa kati Bakari Mwamnyeto anatajwa kuingia kwenye rada za vigogo hao wa soka ndani ya Afrika.
Wazawa hawa wote wawili wana nafasi ya kucheza timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars na kwenye mchezo uliopita wa kufuzu Afcon dhidi ya Tunisia Uwanja wa Mkapa walikuwa na kikosi.
Fei Toto alifunga bao lililoipa pointi moja Stars kwenye sare ya kufungana bao 1-1 huku Mwamnyeto akipambana na Watunisia hao kwa dakika 90.
Ikiwa dili lao litajibu ndani ya Yanga kuna uwezekano wa nyota hawa wawili kusepa ndani ya Yanga ili wakapate changamoto mpya nje ya Bongo.
Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa kwa sasa bado wanajadili juu ya ofa ambazo zimewafikia mezani ili waweze kutoa taarifa kwa mashabiki.
BURUDIKA NA WANYAMAPORI WAKIIMBA NA KUPIGA VYOMBO VYA MUZIKI!
Kupitia Kasino ya Mtandaoni ya Meridianbet, furahia mchezo wa Forest Rock. Hapa utaburudika na umahiri wa wanyapori wanaoimba na kutumia vifaa vya muziki wa rock. Burudika huku ukijiwekea nafasi ya kutengeneza pesa ndefu kupitia Meridianbet!!
Adelta
Fei toto Yuko vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri bonge ladili hilo kwa fey toto
Shakila mrope
Ongera zake fey
aisha
Tunataka maajabu hapo alipo
warda
Ila Fei toto anajitahidi tahidi na akienda TP mazembe anaweza kuwa bora zaidi
Tatu
Bonge la dili kila la khery fei
Rahma
Fey toto kafanye majabu
Dorophina
Big deal hata wasikatae jangwani waache wakapeperushe bendera ya nchi
Mariam mtandama
Hongera yake
Theonestina
Naona majilani wanataamba
Sarah
Get toto Yuko vizuri
Khadija
fei toto namkubali
Fatuma kasomo
Safi
Issa
Kiungo bora tanzania
Hopemwaikuka
Hongera kijana
Mwanahamisi
Safi
Janeflora malisa
Pongz kwk