Harry Kane Apata Majeraha
Makala iliyopita
Araujo Arejea Mazoezini Barca
Makala ijayo
Manchester United ya Asali na Maziwa imerejea
Baada ya kufanyiwa vipimo na taarifa kutoka leo na kueleza mshambuliaji huyo anasmbuliwa na misuli ya nyama za paja, Huku ikiwa haijaelezwa atakaa nje ya uwanja kwa muda gani lakini kikawaida majeraha ya aina hiyo hua yanachukua wiki kadhaa mpaka miezi itategemea tu na ukubwa wa tatizo.