Ni Willy Sagnol, winga ya kulia na ndoto za Wafaransa hapa, kumbuka tupo ndani ya dakika 30 za nyongeza za fainali ya kombe la dunia Ujerumani mwaka 2006. Waitaliano wamefanya …
Makala nyingine
Mshambuliaji wa RB Leipzig na Ujerumani, Timo Werner, 24, yupo tayari kujiunga na Liverpool kama vinara hao wapo tayari kulipa £52m. Kiungo wa Chelsea na Brazil, Willian, 31, yupo kwenye …
Stade Rennes wameweka dau la kumuuza kiungo wao, Eduardo Camavinga kuwa ni €50m huku tayari wakiwa wamepokea ofa kutoka kwa Real Madrid. Madrid wanamtaka kiungo huyo mkabaji kwani anaonekana ni …
VAR ni kifupi cha neno la kingereza lenye maana ya Usaidizi wa Muamuzi kwa Njia ya Televisheni, Hii imekua kawaida sana kwa kipindi cha karibuni kwa waamuzi wa michezo ya …
Turudi nyuma kwanza hadi November 9 1974 pale Conegliano Italy, mama mfanya kazi wa ndani na baba fundi umeme walijaliwa mtoto wa kwanza mwanaume na kumuita jina la kiitaliano Alessandro. …
Ronaldo Luís Nazário de Lima anajulikana kama Ronaldo; alizaliwa 18 Septemba 1976 ni mchezaji mstaafu wa soka wa Brazil ambaye alicheza kama mshambuliaji. Anajulikana kama “O Fenômeno”(“Mtu wa Ajabu”) kwa …
Nini maana ya Simulated Reality League na namna gani unaweza kuibetia? The Simulated Reality Soccer League inatumia uwezo wa kufanya kazi wa mashine za kompyuta kuangaza ubora wa timu na …
Tangu 1991 Kuta za Kaburi la mfalme N”golo Diaara pale Segeou ndani ya Ngome ya Bamana nchini Mali zinatikisika kila ifikapo March 29. tarehe hiyo pale mjini Paris Ufaransa wazazi …
Real Madrid wapo nafasi nzuri ya kumsaini straika wa Norway, Erling Braut Haaland, 19, kutoka Borussia Dortmund, lakini miamba hiyo ya Bundesliga hawapo tayari kumuuza hadi 2022. Tottenham Hotspur wamemuomba …
katika ulimwengu wa soka kuna maajabu mengi sana, Zipo familia zenye bahati zaidi kiasi cha ndugu wa familia hizo kushiriki katika michezo na kua maarufu sana kupitia michezo hiyo, Hapa …
Winga wa Manchester City Leroy Sane, 24, yupo karibu kutua Bayern Munich kwa dau £70m. Vilabu vya Premier League vitakutana Ijumaa kujadili kama msimu utamalizika kabla ya Juni 30. Kama …
Golikipa wa Real Madrid, Thibaut Courtois amethibitisha kuungana na mastaa wengine wa F1 kwa ajili ya michuano ya kidigitali kwa mtanda ya mbio za magari. Mpaka sasa Courtois, Leclerc & …
Inter Milan wanatarajia kumuomba mshambuliaji wa Ufaransa Antoine Griezmann, 29 kubadilishana na straika wao Lautaro Martinez kama Barcelona watajaribu kumsaini mchezaji huyo wa Argentina. Barca watajaribu kumsaini mshambuliaji wa Sweden, …
Maisha ya nyota wa Argentina, Mauro Icardi ndani ya Inter Milan, huenda yakafikia ukingoni msimu huu, baada ya Makamu wa Rais wa timu hiyo, Javier Zanetti, kudai kuwa hadhani kama …
Unalikumbuka lile chama la Napoli pale kwa watu wa soka nchini Italia? SSC napoli ilikuwa hatari chini ya mfanyakazi wa benki ambaye pia ni mzaliwa wa Napoli, Sarri. Soka la …
Mwenyekiti wa Tottenham, Daniel Levy atamruhusu straika wa Uingereza Harry Kane 26 kwenye Manchester United kwa dau la £200m ili kupata haueni kiuchumi. Manchester City wapo tayari kuipiku Chelsea, Real …
Kiungo wa zamani wa PSG anaamin mshambuliaji wa Ufaransa atatua Santiago Bernabeu hivi karibuni. Kylian Mbappe atajiunga na Real Madrid “ni suala la muda tu” amesema Jerome Rothen, amekiri kuwa …
Miaka 39 iliyopita pale kwenye udongo wenye upako wa soka nchini Brazil, mji wa Porto Alegre ndipo anatokea fundi wa mpira mmoja wakuitwa Ronaldo de Assis Moreira ‘Ronaldinho Gaucho’ dunia …
Wakati Argentina wanapewa uenyeji wa Kombe la dunia 1978 walihitaji utulivu mkubwa kwenye Jiji la Buenos Aires, ndipo Dikteta Juan Carlos Ongania aliagiza maskini wote watolewe katikati ya jiji na …
Kwanza tuanze na visiwa flani vilivyotengwa, visiwa hivi kule Carribean Marekani ndipo nyumbani kwa Baba yake Mzazi Thierry Henry aliyekimbia ugumu wa maisha na kuangukia Les Ulis, viunga vya jiji …