Guardiola: Nawaelewa Wakosoaji

Meneja wa Manchester, Pep Guardiola anasema Manchester City haina budi kukubali ukosoaji unaendelea juu yao baada ya kuanza vibaya Ligi Kuu, lakini pia anaamini kuwa wapo katika nafasi nzuri ya kuwa bora tena.

Baada ya sare ya 1-1 dhidi ya West Ham, Manchester City wamekusanya jumla ya pointi nane tu katika mechi zao 5 za ufunguzi. Pointi hizi ni chache zaidi kupata kwa mechi hizo tangia mwaka 2014-15.

City wanaenda kukutana na Sheffield United Jumamosi, ambao wana pointi tano nyumba ya Everton na Liverpool.

Japokuwa mambo yamekuwa tofauti, Guardiola ambaye anakubali kukosolewa anaona bado kuna ishara nyingi tu za wao kurejea katika ubora wao kwa wiki na miezi michache ijayo.

“Tunatakiwa kukubali (kukosolewal), soka la leo lipo kwenye mitandao, ukishinda wewe ni mzuri. Ukipoteza wanataka kuharibu kila kitu” -Guardiola

Guardiola anasema anawajibika kutafuta namna bora ya kurejesha ubora kikosini. Anasema licha ya kuwepo na wakosoaji kama mwenyekiti, mameneja na wachezaji wako kimya basi wanatambua nini wafanye kurejesha ubora.


 

Tsh.160,000,000 Kushindaniwa!

Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.

Kamata Mkwanja wako HAPA

18 Komentara

    City wako pahali pabaya sana lakini kinachotakiwa wasikate tamaaa maana mpira bwana hauitaji hasira

    Jibu

    Changamka kutafuta ufumbuz kabla hamjafel

    Jibu

    City hawako vizuri inabidi wajitahidi sana

    Jibu

    City kwa sasa mpira wao unashuka sana sio kama misimu iliyopita

    Jibu

    City wajipange

    Jibu

    City wajipange kwelikweli yan

    Jibu

    City wanatakiwa kujitasimini wapi wanapokosea

    Jibu

    Vizuri Sana kwakocha mwenye uwerewa wakujipa moyo Kama wewe ila mwanzo mbaya mkikaza mtafika mahala usika

    Jibu

    Niaibu kubwa sana kwa timu kubwa ambayo inaongoza kiukubwa na ndiyo ya kwanza kuwa nyuma Ila pia lazima wakubali kukosolewa ili waweze kutambua makosa yao wajirekebishe vizuri nimeipenda hiyo kocha

    Jibu

    Ndio ajipange Guardiola

    Jibu

    Wajipange upya

    Jibu

    Ni wakati sahihi kwa wachezaji wa Mancity kumpa support kocha wao sababu wanakila sababu ya kumsuport kocha wao

    Jibu

    Guardiola huwa namkubali sana

    Jibu

    Wajipange upya

    Jibu

    Man City ni kama wanasema bora kuanza vibaya ukarekebisha kuliko kumaliza vibaya bila kurekebisha.
    Hiyo mia sitini milioni inanitoa macho.

    Jibu

    Nice update

    Jibu

    Good news

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.