“Ukiacha Messi na Ronaldo, Mbappe na Neymar ni Wachezaji Wazuri Zaidi Duniani.”
Mara baada ya kuisaidia PSG kufika fainali ya Ligi ya Mabingwa kwa mara ya kwanza katika historia ya klabu hiyo na kushinda taji la ligi kuu ya Ufaransa ‘Ligue 1’ msimu wa 2019/20, Mbappe na Neymar wamefanikiwa kumshawishi mkurugenzi wa michezo wa PSG kuwa wao ni wachezaji wazuri zaidi duniani nyuma ya Messi na Ronaldo.
Mbappe, alifanikiwa kuifungia PSG jumla ya magoli 30 katika mashindano yote msimu uliopita wa 2019/20, huku Neymar akiweka kambani magoli magoli 19 katika michezo 27 aliyocheza.
Wawili hao wametajwa mara kadhaa kuja kuwa warithi wa nyota wa Juventus, Christiano Ronaldo (35) na shujaa wa Barcelona, Lionel Messi (33) pale watakapostaafu kucheza soka la kiushindani.
Mkurugenzi huyo wa michezo, Leonardo anatarajia nyota hao wataendele kubaki PSG licha ya kuwa mara kadhaa wamekua wakihusiahwa na tetesi za kuihama klabu hiyo.
“Tunataka kuendelea kusalia na Mbappe na Neymar. Ni lazima tufanye hivyo,” alinukuliwa Leonardo.
“Kuwa na wachezaji wawili kama wale kwenye kikosi ni jambo kubwa. Messi na Ronaldo wapo timu tofauti. Tunao wachezaji wakubwa wawili baada ya Messi na Ronaldo.”
Mkurugenzi huyo pia amesisitiza kuwa wana mpango wa kuendelea na kocha wao wa kikosi cha kwanza, Thomas Tuchel, licha ya kuwepo kwa tetesi kuwa wamekuwa wakimuwania Massimiliano Allegri.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


warda
Na Hawa wachezaji watakuwa moto sana msimu huu#Meridianbettz
magdalena
ni wachezaji wazuri lakini si duniani sanbabu kuna wachezaji wazuri zaidi ya wao
Lydia Emmanuel Magoti
Hao Wachezaji wapo vizuri Sana huo msimu utakao Anza watakuwa Moto Sana nawaerewa hoa wapambanaji
felister
hawa wachezaji ni Moto wa kuotea mbali
Tahiya
Wana chemistry nzur sana wawapo uwanjani
Fatina mfigi
Mm nawakubali sana Ni wachezaji bora wakiwa kweny kazi yao!
Mwajumah
Wachezaji hao wapo vizuri sana msimu ujao mamb yatakua moto wa kuotea mbali#Meridianbettz
Mwanahamisi
Hawa wachezaji ni balaa
Elika
Hiyo caple bomba sana
Neema
Kwa kweliii hiyo ni point kabisaa hao wachezajii wako vizuri mno
aisha
Kweli wako vizuri sana lakini sio ki dunia kwasababu wapo wengine wazuri zaidi yao kama salaa na wenzake
Saupha mohamed
Wachezaji wa msimuu atalii
Rehema Dickson
msimu utakao Anza watakuwa Moto Sana nawaelewa sana hoa wapambanaji
Flomena
Kuwa na wachezaji wawili kama wale kwenye kikosi ni jambo kubwa. Messi na Ronaldo wapo timu tofauti. Tunao wachezaji wakubwa wawili baada ya Messi na Ronaldo.
Antony Luseno
Hilo halina ubishi ukitaja kwa sasa wachezaji kumi bora na wao wamo
Ernest
Neymar anasifa zake na Mbappe anasifa zake, Lakini kwangu mimi Mbappe ni moto wa kuotea mbali kwa sasa
Povel
Wana combination nzuri ndani ya Psg na wanamvuto mkubwa kwa mashabik wa soka ulimwenguni
Shani
Wachezaji makini sna kwa ubora wao watadumu sana kwenye soka
Furahav
Wako vizuri sana.
Khadija
Waxhezaji wapo makini sana#meridianbettz
Tatu
Ni wachezaji wazuri sana wenye kujituma
Hidaya
Wanajua wanachokifanya kila mtu na kazi yake
Hope mwaikuka
Ni kwel wako vzur
jullie
waongeze bidii
Shafii
Ila majeruhi ya Mara kwa Mara ndio yamekua kikwazo kwao.
Theckla
Sahihi
Issa
Ni hatari hawa watu
Amiri Kayera
Niwachezaji walitabiliwa kuwalisi mess na Ronaldo ila hawajafikia wabak kushik nafax ya tatu na nne
Saupha mohamed
Mbappe yupo moto
Gabriel
Wachezaji wapo vizuri Sana
Tumaini kasalile
Asante kwa taarifa
Janeflora malisa
Asnt kwa taarif
Dorophina
Mbappe na Neymar wapo vizuri sana na msimu ujao watakuwa vizuri zaid
Sauda
Wapo vizuri sana
Rose kapinga
Wanajitaidi sana cha msingi wazidi kupambana kwenye soka wasilewe sifa!!!
Nasra
Wajitahidi tu
David Pere
Kweli wako vizuri sana lakini sio ki dunia kwasababu wapo wengine wazuri zaidi yao kama salaa na wenzake
Sabrina
Hawa vijana wako vizuri sn