Baada ya kupeleka kilio kwa mashabiki wa Man United, Neymar Jr ameshtua ulimwengu kidogo kwa kusema kwamba anataka kucheza na Messi kuanzia 2021.
PSG wamewaburuza Man United kwa magoli 3-1 katika uwanja wa Old Trafford. Huu ni muendelezo kwa United kupoteza michezo yao ya nyumbani wakati ambao PSG wameendelea kutamba kwa kupata matokeo katika mechi zote walizocheza Old Trafford.
Ushindi kwa PSG unawapa nguvu na ari mpya ya kufuzu hatua ya 16 bora licha ya kuendelea kushika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Kundi H wakiwawamezidiwa magoli 3 na United.
Neymar Jr ambaye alijiunga na PSG akitokea Barcelona mwaka 2017, amenukuliwa akisema kwa uwazi kuwa ” ninataka kucheza nae (Messi), nitaruhusu acheze kwenye nafasi yangu kama atahitaji kufanya hivyo. Kiukweli, mwakani inabidi tucheze pamoja.”
Mchezo wa Astro Legend unakupatia burudani ya muziki kupitia kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Utaburudika huku ukiendelea kutengeza mkwanja mrefu, jiunge sasa na uwe miongoni mwa mabingwa!!



lombo
vzr
Magdalena
Itakuwa jambo jema sana
Adelta
Ni Jambo jema
Aziza mushi
Jambo zuri
Fatina mfingi
Itakuwa powah sana!
Ester jackson
Itapendeza sana kuwaona wapo pamoja tena
Caroline
Wababe wawili wanakutana
Ernest
PSG wataweza kuvunja kibubu? pili shida aina ya mpira ambayo PSG wanacheza sidhani kama utakuwa uamuzi sahihi kwa Messi kuchezea PSG.
Samira
Mi nilikua napenda sana combination yao pale barcelona kwahiyo itakua jambo la kheli
Tatu
Jambo zuri
Dorophina
Sijui ht itakuwaje mechi yao itakuwa ya kibabe sana
Fatuma kasomo
Sio mbaya
Povel
Psg wawez kuvunja benki kunasa saini ya la pluga MESSi shida ipo kwny fair play hapo ndo mtihani unapoanza deal la messi kuonekana gumu
David Pere
PSG wataweza kuvunja kibubu? pili shida aina ya mpira ambayo PSG wanacheza sidhani kama utakuwa uamuzi sahihi kwa Messi kuchezea
Issa
Barca tunayoitak inarud
Latifa juma mohamed
Sio mbaya.
Hopemwaikuka
Nzur sana hii
Janeflora malisa
Vzr
[email protected]
Safi sana
Mariam mtandama
Vizur
samiah
Safi
warda
Inawezekana ikajirudia tena