Mlinda mlango Denis Onyango ameliandikia barua Shirikisho la mpira wa miguu nchini Uganda ‘FUFA’ akitoa taarifa ya kustaafu kuichezea timu ya Taifa ya Uganda ‘The Cranes’

Onyango ameitumikia Uganda katika michezo 83 tangu alipocheza mechi yake ya kwanza ya kimataifa dhidi ya Cape Verde mnamo Juni 2005.
Mlinda mlango huyo anaondoka huku Uganda wakiwa wameshindwa kufuzu kucheza mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika (Afcon) ya 2021 huko Cameroon.

“Imekuwa furaha kubwa kuwakilisha nchi yangu na nitashukuru kila wakati uzoefu na maarifa ambayo nimepata wakati nikichezea The Cranes“ ameandika Onyango.
Kila mtu ana namba zake za bahati, Meridianbet tunatambua namba zinaweza kukufanya milionea leo. Jilipe kwa namba zako za bahati kila baada ya dakika tano.



dorophina
Kila lakheri onyango
Sarah
Kila la kheri
Venerose
Safi sana kazi na umri
Angelina
Kila kheri
Hopemwaikuka
Saf
warda
Nilijua Onyango wa simba