Tsitsipas: Djokovic Anawafanya Wachezaji Waonekane Wajinga

Mchezaji namba nne kwa ubora duniani Stefanos Tsitsipas amemshutumu mchezaji namba moja kwa ubora duniani Djokovic kwa kuwafanya wachezaji wengine wa tennis kuonekana wajinga baada ya kuruhusu kucheza pasipo kuchanjwa.

Tsitsipas hakubaliani na wenzie ambao waliweza kusimama kuweza kumtetea Djokovic ili aweze kupewa ruhusu ya kuweza kushiriki hata kama hajachanja ili aweze kutetea na kuhakikisha anachukua ubingwa 10 Australian Open huku akihakikisha anachukua Grand Slam ya 21.

 

Tsitsipas ambaye mwaka jana alipoteza fainali ya French Open, alisema kuwa karibia wahiriki wote wamechanjwa kwenye mashindano hayo ambayo yanakwenda kufanyika jijini Melbourne

“Amechagua kufuata njia yake ambayo inawafanya wengine waonekane wapumbavu, ni uthubutu mkubwa ambao wamefanya kuiweka Grand Slam kwenye hatari, sidhani kama wachezaji wengi wangefanya hivyo.” Alisema Stefanos Tsitsipas

waziri mkuu wa Australia Scott Morrison alisema kuwa hakuna jambo lilifanyika la kufuta VISA yake kwa mara ya pili, Djokovic hakuweza kuhusishwa kwenye mzunguko wa kwanza wa Australian Open.


JIACHIE NA ALMIGHTY AZTEC

Ni muda wako kujiachia na mchezo maridhawa wa Almighty Aztec katika kasino bomba za meridianbettz. Nafasi ya kutengeneza mkwanja iko mikononi mwako kazi ni kwako.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe