Tetesi za Soka Barani Ulaya.

 

Tetesi zinasema, Paris St-Germain huenda wakamnunua kiungo wa kati wa Chelsea Mfaransa N’Golo Kante,30, msimu wa joto.

Kocha wa PSG Muargentina Mauricio Pochettino, 49, amepuuza wito wa Manchester United kumtaka ajiunge nao Old Trafford anaposubiri kuchukua usukani Real Madrid.

Tetesi zinasema, Mshambuliaji wa Uingereza Harry Kane, 28, huenda akaomba kuondoka Tottenham kwa mara nyingine tena ikiwa Antonio Conte ataacha kazi kama kocha wa Spurs.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Kiungo wa kati wa Uholanzi Georginio Wijnaldum, 31, huenda akaondoka PSG baada ya kuwaepo kwa msimu mmoja pekee, akihusishwa na klabu za Atletico Madrid, West Ham, Newcastle United and Aston Villa.

Arsenal wameungana na wawakilishi wa mshambuliaji wa Uswidi Alexander Isak lakini wanataka Real Sociedad kupunguza bei ya ya kiungo huyo wa miaka 22- kwa kuzingatia kifungu cha kumuachilia ili kufikia mkataba.

Kiungo wa kati wa Manchester United Paul Pogba, 28, anasemekana yuko radhi kuhamia Paris St-Germain, kulingana na mshambuliaji wa zamani wa Chelsea striker na Mfaransa mwenzake Nicolas Anelka.

 

Tetesi za Soka Barani Ulaya.

Tetesi zinasema, Beki wa RB Leipzig Mhispania Angelino huenda akaondoka klabu hiyo ya Ujerumani msimu wa joto, huku Arsenal, Tottenham na Barcelona zikihusishwa na kiungo huyo wa miaka 25.

West Ham, Leicester City na Everton zimehusishwa na tetesi za kutaka kumnunua kiungo wa Bristol City Alex Scott, huku Mwingereza huyo mwenye umri wa miaka 18 pia akivutia kutoka nje ya nchi.

Tetesi zinasema, Aston Villa wanasemekana kuwa tayari kupokea ofa ya kumnunua mlinzi wa zamani wa England chini ya miaka 21 Ezri Konsa, 24.


KASINO YA MTANDAONI: EMOTICOINS SABABU YA KUVUNA ZAIDI.

Haijawahi kuwa rahisi hivi kwenye safari yako ya kuvuna mkwanja, kasino maridhawa ya meridianbettz inakuletea mchezo wa Emoticoins unaokupa nafasi ya kufanya safari yako kuwa rahisi zaidi. Wakati ni wako nafasi ni yako na Emoticoins.

senegal, Senegal Mabingwa AFCON 2021., Meridianbet

CHEZA HAPA.

Acha ujumbe