Leicester wamempa ofa ya mkataba wa muda mrefu kiungo wa Liverpool Adam Lallana. Muingereza huyo mkataba wake na Anfield unamalizika Juni.
Real Madrid hawajapokea ofa yoyote kumhusu Mshambuliaji wa Wales, Gareth Bale na anatarajia kusalia klabuni hapo kwa mwaka mwingine.
Manchester United na Newcastle wanavutiwa na winga wa Uruguay Facundo Pellistri. Kinda huyo mwenye miaka 18 anachezea Penarol.
![](https://meridianbetsport.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/be857080-pellistri-300x188.jpg)
Vilabu viwili vikubwa barani Ulaya vimewasiliana na wakala wa kiungo wa Italia na Chelsea Jorginho kuzungumza uwezekano wa kumnasa.
![](https://meridianbetsport.co.tz/wp-content/uploads/2020/05/0_GettyImages-1198861091-300x225.jpg)
Tottenham wameambiwa wanaweza kumsaini kiungo wa Barcelona na Brazil, Philippe Coutinho kwa mkopo wa £8m. Kwasasa kiungo huyo yupo Bayern Munich kwa mkopo.
Magdalena
Habari njema Sana izo
Juliana
Bora tu walivyompa mkataba mrefu,ili apige kabumbu kikamilifu
Lombo
asante meridianbet kwa update
Shafii
Jamaa anajua tatizo hana namba Liverpool
Theonestina
Nawakubali Sana meridianbet
Warda
Duuu Bale amedumu sana Real Madrid #Meridianbettz
Adelta
Ni habari njema
Salma
Wajitahid wampate phili ni kiungo mzuri
David pere
Asanteni kwa habari nzuri
Samiah
Nihabari njema sana
Hamidu
Kwa Adam lallana pale Liverpool mwache aondoke, akatafute changamoto nyingine
#Meridianbettz
Samiah
Nihabari zakufurahisha hizo
Frank Patrick
lallana namkubali sana ila kwa liverpool pale nafasi hana aende tu kwa Rodgers ila kwa Coutinho kweli kashuka thamani
Neema juma
Mko vzr kwa taarifa
aisha
hongera sana adam
winfrida
liverpool watapunguza kisu, kwa nini wasimuongezee mkataba? bale nae naona nyota yake inazama sasa
Ernest
Bale anazidi kushuka kiwango kwa kukaa benchi pale Madrid.
Mwanaidi
Namkubali sana Huyu Mwamba Bale
Antony Luseno
Nice update #meridianbettz
Hope mwaikuka
Kaishiwa
Gabriel
Nice update# meridianbet
felister
ongera lallana kwa kupewa ofa mkataba mrefu na kwa upande wa bale abakie tu apo apo real madrid
Elika
Lallana yuko vizur..lakini kwa riverpool atacheza nafasi gani pale
Amani
Bale anazidi kushuka kiwango kwa kukaa benchi pale Madrid.
Rehema
Shukurani kwa taarifa
Rehema Dickson
akatafute changamoto nyingine
Theckla
Asante kwa taarifa
Evaluziga
Akatafute changamoto nyingine
Lydia Emmanuel Magoti
Meridian mpovizuri kwatarifa
Zeiyana
Kadumu sana Madrid..!
dorophina
Tnx meridian kwa update
Sadick
Asante kwa taarifa za tetesi#meridianbettz
Latifa juma mohamed
Habar njema kwa kutupatia meridian bet tz
Genia Sikaluzwe
Habari njema Sana
Kenani
Noma sana
Ester jackson
Habari njema
mwakalosi
huyo dogo man utd sidhani kama wana,muda wa kumsubili
Furahav
Habari njema hiyo.
Khadija
Bale anazidi kushuka kiwango#meridianbettz
Aziza mushi
Habari njema 👍
Caroline
Asante kwa taarifa.
Hidaya Mohammed
Atawasaidia sana Leicester kwani bado yupo vizuri
Neema hassan
Habari njema#meridianbettz
Mwajuma
Ni wakati wake mzuri wa kwenda kumalizia Mpira wake kule
Povel
Ni habar njema
Mwanahamisi
Habari njema