Xavi Sijazungumza na Countinho

Kocha wa timu ya Barcelona Xavi Hernandez amesema hajazungumza na Philippe Coutinho kuhusu uhamisho wa dirisha la usajiri mwezi huu januari.

Philippe Coutinho anatarajia kuondoka kwenye dirisha la usajiri mwezi huu kutokan na klabu ya barcelona kutaka kupunguza mzigo wa mishahara walionao ili kuweza kupata nafasi ya kuweza kusajiri wachezaji wapya.

Xavi

Kulikuwa na mazungumzo kwamba, Xavi alishaongea na Coutinho kuhusu hali halisi ambayo wanayopitia kwa sasa lakini mkufunzi huyo aligoma.

Sijazungumza na Philippe kuhusu hili, ametusaidia mudaliopata kucheza, kuna watu wapya waningia na wapo wanaondoka , tunasubiri usajiri wa alves pia ili kuweza kubalance mambo.”

Xavi Hernandez

Coutinho alisajiriwa na Barcelona akitokea Liverpool mwaka 2018 lakini hajaweza kuonyeshaa makali yake wala kutulia na klabu hiyo tokea asajiriwe kwa pesa nyingi, pia ni miongoni mwa wachezaji wanaolipwa pesa nyingi ndani ya klabu ya Barcelona.


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.