Mwenyekiti wa klabu ya Bayern Munich Karl- Heinz Rummenigge amethibitisha kwamba Thiago Alcantara ataondoka katika klabu anayoichezea sasa Fc Bayern Munich.
Thiago atakuwa nje ya mkataba mwaka ujao na mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 29 ameripotiwa yupo tayari kuachana na miamba hiyo ya Ujerumani.
Jurgen Klopp ameonesha nia ya kumuhitaji Thiago hapo Anfield, ambapo Liverpool wamefanikiwa kushinda taji lao la kwanza la Premier League tangu walipofanya hivyo mwaka 1990.

Hali ya kuwa kumekuwa ueneaji wa kuondoka kwa kiungo huyo wa Hispania, Rummenigge amesema Thiago yupo tayari kwaajili ya changamoto mpya.
“Tunatakiwa tukubali kwamba, bado tuna mkataba wa mwaka mmoja kama atakubaliana na klabu yoyote, basi hiyo klabuitalazimika kutulipa kiasi cha fedha kwaajili ya uamisho wa Alcantara. alisema kiongozi wa michezo wa Bayern Hasan Salihamidzic.
“Sitaki kuongea chochote kuhusu kiasi tulichokipanga, lakini tunajua kwamba tutalipwa ikitokea timu kumtaka Thiago.
Thiago amefanikiwa kushinda mataji saba ya Bundesliga, manne ya DFB-Pokal na mawili ya DFL-Supercup na moja la Club World Cup tangu ajiungena Bayern Munich akitokea Barcelona mwaka 2013.
Baada ya kuisaidia Bayern Munich kushinda taji la nane mfululizo, Thiago na Mabingwa hao wanajiandaa kurudi katika michuano ya Champions League mwezi Ujao kwa mchezo wa marudiano dhidi ya Chelsea.
Mchezo wa awali Bayern Munich alishinda kwa 3-0 jijini London kabla mashindano hayajasimamishwa kwa lazima kufuatia kuzuka kwa virusi vya Corona mwezi Machi.
Nini kinachokupa raha kama michezo ya kasino ya mtandaoni? Hasa unapojua kuwa kuna ushindi, jackpot na mizunguko kibao ya bure.
Ungana na bwana Meridian kupata ushindi na burudani


Sadick
Mlango upo wazi kwa Liverpool na Man city kutuma offer zao. Nadhani Man City ina nafasi kubwa kumuchukua. Thaigo ni mchezaji mahiri#meridianbettz
Mwajumah
Asante kwa taarifa#Meridianbettz
Dorophina
Liver wamechachamaa kwenye usajili lakini wakimpata Thiago atawafaa sana
Sauda
Asante Meridianbet kwa kutuletea tetesi za Soka..
Antony Luseno
Naona liver msimu huu imeonyesha nia ya kusajili tofauti na msimu uliopita
Adelta
Good news
Mwanahamisi
Gud news
Magdalena
Aende Liverpool watamchukua
Lydia Emmanuel Magoti
Aende Liverpool watamchukua
Khadija
Aende tu livepool watamchukua#meridianbettz
Latifa juma mohamed
New updates
Caroline
Liver wameamua kumsajili Thiago
Zeiyana
Thiago yupo vizuri sana bola haende Liverpool tu kutamfaa zaidi
Fatina mfingi
Ni habar njema
Janeflora malisa
Good
Fatuma kasomo
Gud news
Ernest
Ni dalili nzuri kwa Thiago kutua ndani ya Liverpool
Shafii
Gud news.
Tatu
Kwa vilabu vya mpira hyo ndio fursa wasilaze damu
Isaya massawe
Thiago bado ni mchezaji mzuri
Samiah
Gud news
Samira
Good news Thiago
Rehema
Thiago ni mchezaji mzuri
Furahav
Habari nzuri
Issa
Thiago ni wakati wa kubadil changamoto ingine tena ujeruman ushavuruga sana
Gabriel
Hapa naona kilio cha klopp kimesikika maaana kitambo sana alikuwa anapiga dua kumpata Thiago me naamin Liverpool itakuwa vzur sana maana usajili wao uko vzur
Hope mwaikuka
Habar njema
Devotha
Good newz
Tahiya
Nadhani Liverpool wanaendelea kusajir ili kuimaira kikosi msimu ujao
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
farida ahmadi
Maamuzi yake binafsi
David Pere
Kweli Liverpool wanatisha Sana msimu ujao maana hapa wamepata jembe la maana sanaa
Saupha mohamed
Vizurii
Sabrina
Liverpool watafaidika nae Thiago ni talent player
Genia Sikaluzwe
Habari njema
Theckla
Habari njema
Omary lukumbi
Klopp atakifanya kikosi cha Liverpool kua tishio msimu ujao
tumaini
Maoni:vizuri
Povel
Gud news
felister
Thiago huu ndi wakati wa kufanya yako Liverpool
Amiri Kayera
Kila la kher
Asia Abdy
Safii
Ester jackson
Good news
warda
Sawa tumewapata#Meridianbettz